Romans 15:10 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tena Maandiko yasema: “Furahini, enyi watu wa mataifa; furahini pamoja na watu wake.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tena yasema, “Enyi watu wa Mataifa, furahini pamoja na watu wa Mungu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na tena anena,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Na Maandiko yanasema, “Ninyi watu wa mataifa mengine furahini pamoja na watu wa Mungu.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Tena Maandiko yasema: “Furahini, enyi watu wa mataifa; furahini pamoja na watu wake.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tena Maandiko yasema: “Furahini, enyi watu wa mataifa; furahini pamoja na watu wake.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tena yasema, “Enyi watu Mataifa, furahini pamoja na watu wa Mungu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tena yasema, “Enyi watu wa Mataifa, furahini pamoja na watu wa Mungu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na tena anena, Furahini, Mataifa, pamoja na watu wake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tena Maandiko yasema: “Furahini, enyi watu wa mataifa; furahini pamoja na watu wake.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena anasema: Furahini, enye wamizimu, pamoja nao walio ukoo wake!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na tena anena, Furahini, Mataifa, pamoja na watu wake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na tena Maandiko yanasema: “Ninyi watu wa mataifa yote mufurahi pamoja na taifa lake!”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na tena anena, Furahini, Mataifa, pamoja na watu wake.