Romans 16:1 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Napenda kumjulisha kwenu dada yetu Foibe ambaye ni mtumishi katika kanisa la Kenkrea.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Napenda kumtambulisha kwenu dada yetu Foibe, mhudumu katika kundi la waumini la Kenkrea.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Namkabidhi kwenu Fibi, ndugu yetu, aliye mhudumu wa kanisa lililoko Kenkrea;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Napenda mjue kuwa mnaweza kumwamini dada yetu Foebe. Ni mtumishi maalum wa kanisa la kule Kenkrea.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Napenda kumjulisha kwenu dada yetu Foibe ambaye ni mtumishi katika kanisa la Kenkrea.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Napenda kumjulisha kwenu dada yetu Foibe ambaye ni mtumishi katika kanisa la Kenkrea.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Napenda kumtambulisha kwenu dada yetu Foibe, mtumishi katika kanisa la Kenkrea.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Napenda kumtambulisha kwenu dada yetu Foibe, mtumishi katika kundi la waumini la Kenkrea.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Namkabidhi kwenu Fibi, dada yetu, aliye mhudumu wa kanisa lililoko Kenkrea;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Napenda kumjulisha kwenu dada yetu Foibe ambaye ni mtumishi katika kanisa la Kenkrea.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nawaagiziani ndugu yetu Febe aliye mtumishi mke wa wateule wa Kenkerea,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Namkabidhi kwenu Fibi, ndugu yetu, aliye mhudumu wa kanisa lililoko Kenkrea;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ninawatumia dada yetu mwamini Foibe, anayekuwa musaidizi wa kanisa la Kenkurea.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
NAWAPENI sifa njema za Foibe ndugu yetu, aliye mwenye khuduma katika kanisa lilioko Kenkrea,