Romans 16:13 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nisalimieni Rufo, mtu hodari sana katika kazi ya Bwana, na mama yake ambaye ni mama yangu pia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Msalimuni Rufo, mteule katika Bwana Isa, pamoja na mama yake, ambaye amekuwa mama kwangu pia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nisalimieni Rufo, mteule katika Bwana, na mamaye, aliye mama yangu pia.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Pia msalimieni Rufo, mmoja wa wateule wa Bwana, na mama yake, ambaye amefanyika mama yangu pia.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Nisalimieni Rufo, mtu hodari sana katika kazi ya Bwana, na mama yake ambaye ni mama yangu pia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nisalimieni Rufo, mtu hodari sana katika kazi ya Bwana, na mama yake ambaye ni mama yangu pia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Msalimuni Rufo, mteule katika Bwana pamoja na mama yake, ambaye amekuwa mama kwangu pia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Msalimuni Rufo, mteule katika Bwana Isa, pamoja na mama yake, ambaye amekuwa mama kwangu pia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nisalimieni Rufo, mteule katika Bwana, na mamaye, aliye mama yangu pia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nisalimieni Rufo, mtu hodari sana katika kazi ya Bwana, na mama yake ambaye ni mama yangu pia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nisalimieni Rufo aliyechaguliwa na Bwana, naye mama yake aliye hata mama yangu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nisalimieni Rufo, mteule katika Bwana, na mamaye, aliye mama yangu pia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Munisalimie Rufo, mutumishi hodari katika kazi ya Bwana, na mama yake ninayemuhesabu kama mama yangu vilevile.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nisalimieni Rufo, mteule katika Kristo, na mama yake, aliye mama yangu pia.