Romans 2:11 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana Mungu hambagui mtu yeyote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana Mungu hana upendeleo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kwa maana hakuna upendeleo kwa Mungu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ndiyo, Mungu humhukumu kila mtu pasipo upendeleo, bila kujali yeye ni nani.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana Mungu hambagui mtu yeyote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana Mungu hambagui mtu yeyote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana Mungu hana upendeleo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana Mungu hana upendeleo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kwa maana hakuna upendeleo kwa Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana Mungu hambagui mtu yeyote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani Mungu hautazami uso wa mtu.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kwa maana hakuna upendeleo kwa Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana Mungu hana upendeleo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
kwa maana hapana upendeleo kwa Mungu.