Romans 2:6 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Siku hiyo Mungu atamlipa kila mmoja kufuatana na matendo yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana Mungu atamlipa kila mtu kulingana na matendo yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
atakayemlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kama anavyosema, “Atamlipa au kumwadhibu kila mtu kutokana na matendo yale.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Siku hiyo Mungu atamlipa kila mmoja kufuatana na matendo yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Siku hiyo Mungu atamlipa kila mmoja kufuatana na matendo yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana Mungu atamlipa kila mtu sawasawa na matendo yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana Mungu atamlipa kila mtu sawasawa na matendo yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
atakayemlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Siku hiyo Mungu atamlipa kila mmoja kufuatana na matendo yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, atakapomlipa kila mtu, kama matendo yake yalivyo:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
atakayemlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana Mungu atamulipa kila mutu kwa kadiri ya matendo yake.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
atakaemlipa killa mtu kwa kadiri ya matendo yake;