Romans 3:10 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Hakuna hata mmoja aliye mwadilifu!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwenye haki, hakuna hata mmoja.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kama ilivyoandikwa, ya kwamba, Hakuna mwenye haki hata mmoja.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kama Maandiko yanavyosema, “Hakuna atendaye haki, hakuna hata mmoja.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Hakuna hata mmoja aliye mwadilifu!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Hakuna hata mmoja aliye mwadilifu!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwenye haki, hakuna hata mmoja.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwenye haki, hakuna hata mmoja.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kama ilivyoandikwa, ya kwamba, Hakuna mwenye haki hata mmoja.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Hakuna hata mmoja aliye mwadilifu!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kama ilivyoandikwa: Hakuna aliye mwongofu hata mmoja.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kama ilivyoandikwa, ya kwamba, Hakuna mwenye haki hata mmoja.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ni sawa ilivyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: “Hakuna hata mutu mumoja mwenye haki!
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
kama ilivyoandikwa, ya kama, Hakuna mwenye haki hatta mmoja.