Romans 4:22 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ndiyo maana Mungu alimkubali kuwa mwadilifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hii ndio sababu, “ilihesabiwa kwake kuwa haki.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa hiyo ilihesabiwa kwake kuwa ni haki.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ndiyo sababu “Mungu alimkubali kuwa ni mwenye haki”.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ndiyo maana Mungu alimkubali kuwa mwadilifu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ndiyo maana Mungu alimkubali kuwa mwadilifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hii ndio sababu, “ilihesabiwa kwake kuwa haki.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hii ndio sababu, “ilihesabiwa kwake kuwa haki.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa hiyo ilihesabiwa kwake kuwa ni haki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ndiyo maana Mungu alimkubali kuwa mwadilifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hivyo ndivyo, alivyowaziwa kuwa mwenye wongofu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa hiyo ilihesabiwa kwake kuwa ni haki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa sababu hiyo “alihesabiwa kuwa mwenye haki”.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa hiyo ilihesabiwa kwake kuwa haki.