Romans 4:25 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yeye alitolewa auawe kwa ajili ya dhambi zetu, akafufuka ili tufanywe waadilifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Alitolewa afe kwa ajili ya dhambi zetu, naye alifufuliwa kutoka mauti ili tuhesabiwe haki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ambaye alitolewa kwa ajili ya makosa yetu, na kufufuliwa ili mpate kuhesabiwa haki.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu alitolewa afe kwa ajili ya dhambi zetu, na akafufuliwa kutoka kifo ili Mungu atuhesabie haki.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yeye alitolewa auawe kwa ajili ya dhambi zetu, akafufuka ili tupate kukubaliwa kuwa waadilifu na Mungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yeye alitolewa auawe kwa ajili ya dhambi zetu, akafufuka ili tufanywe waadilifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Alitolewa afe kwa ajili ya dhambi zetu, naye alifufuka kwa ajili yetu ili tuhesabiwe haki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Alitolewa afe kwa ajili ya dhambi zetu, naye alifufuliwa kutoka mauti ili tuhesabiwe haki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ambaye alitolewa kwa ajili ya makosa yetu, na kufufuliwa ili mpate kuhesabiwa haki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yeye alitolewa auawe kwa ajili ya dhambi zetu, akafufuka ili tufanywe waadilifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
aliyetolewa kwa ajili ya maanguko yetu, akafufuliwa kwa ajili ya wongufu wetu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ambaye alitolewa kwa ajili ya makosa yetu, na kufufuliwa ili mpate kuhesabiwa haki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Alitolewa kufa sababu ya makosa yetu na kufufuliwa kusudi tupate kuhesabiwa haki mbele ya Mungu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
aliyetolewa kwa ajili ya makosa yetu, na kufufuliwa illi tupate kupewa haki.