Romans 6:14 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana, dhambi haitawatawala tena, kwani hamko chini ya sheria, bali chini ya neema.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana dhambi haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa sababu hampo chini ya sheria, bali chini ya neema.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana dhambi haitawatawala ninyi, kwa sababu hamwi chini ya sheria, bali chini ya neema.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Dhambi haitakuwa mtawala wenu, kwa sababu hamko chini ya sheria. Sasa mnaishi chini ya neema ya Mungu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana, dhambi haitawatawala ninyi tena, kwani hamko chini ya Sheria, bali chini ya neema.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana, dhambi haitawatawala tena, kwani hamko chini ya sheria, bali chini ya neema.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana dhambi haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa sababu hampo chini ya sheria, bali chini ya neema.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana dhambi haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa sababu hampo chini ya sheria, bali chini ya neema.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana dhambi haitawatawala ninyi, kwa sababu hamwi chini ya sheria, bali chini ya neema.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana, dhambi haitawatawala tena, kwani hamko chini ya sheria, bali chini ya neema.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani ukosaji hautashika ufalme, uwatawale, maana nguvu yenu siyo ya Maonyo, ila ya upole.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana dhambi haitawatawala ninyi, kwa sababu hamwi chini ya sheria, bali chini ya neema.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana hamutatawaliwa tena na zambi, kwa sababu hamuishi chini ya uongozi wa Sheria lakini chini ya uongozi wa neema ya Mungu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana dhambi haitawatawala ninyi, kwa sababu hamwi chini ya sharia, hali chini ya neema.