Romans 6:18 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mlikombolewa kutoka utumwa wa dhambi, mkawa watumwa wa uadilifu
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nanyi baada ya kuwekwa huru mbali na dhambi, mmekuwa watumwa wa haki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na mlipokwisha kuwekwa huru mbali na dhambi, mkawa watumwa wa haki.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mliwekwa huru kutoka katika dhambi, na sasa ninyi ni watumwa wa uaminifu wa wema wa Mungu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mlikombolewa kutoka utumwa wa dhambi, mkawa watumwa wa uadilifu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mlikombolewa kutoka utumwa wa dhambi, mkawa watumwa wa uadilifu
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nanyi, mkiisha kuwekwa huru mbali na dhambi, mmekuwa watumwa wa haki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nanyi, mkiisha kuwekwa huru mbali na dhambi, mmekuwa watumwa wa haki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na mlipokwisha kuwekwa huru mbali na dhambi, mkawa watumwa wa haki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mlikombolewa kutoka utumwa wa dhambi, mkawa watumwa wa uadilifu
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Napo hapo, mlipokombolewa katika utumwa wa ukosaji, mmegeuka kuwa watumwa wa wongofu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na mlipokwisha kuwekwa huru mbali na dhambi, mkawa watumwa wa haki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mumewekwa kuwa huru toka katika utumwa wa zambi, na sasa mumegeuka watumwa wa haki.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
na mlipokwisha kuandikwa huru mkawa mbali ya dhambi, mlifanywa watumwa wa haki.