Romans 6:20 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mlipokuwa watumwa wa dhambi mlikuwa huru mbali na uadilifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa hamtawaliwi na haki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa huru mbali na haki.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Zamani mlikuwa watumwa wa dhambi, na wala hamkufikiri juu ya kutenda haki.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa huru mbali na uadilifu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mlipokuwa watumwa wa dhambi mlikuwa huru mbali na uadilifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa hamtawaliwi na haki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa hamtawaliwi na haki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa huru mbali na haki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mlipokuwa watumwa wa dhambi mlikuwa huru mbali na uadilifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani mlipokuwa watumwa wa ukosaji, siku zile mlikuwa hamna wongofu hata kidogo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa huru mbali na haki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakati mulipokuwa watumwa wa zambi, mulikuwa huru kufuatana na mambo ya haki.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa huru mbali ya haki.