Romans 6:7 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa maana, mtu aliyekufa, amenasuliwa kutoka dhambini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana mtu yeyote aliyekufa amehesabiwa haki mbali na dhambi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kwa kuwa yeye aliyekufa amehesabiwa haki mbali na dhambi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yeyote aliyekufa amewekwa huru kutoka katika nguvu za dhambi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa maana, mtu aliyekufa, amenasuliwa kutoka katika nguvu ya dhambi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa maana, mtu aliyekufa, amenasuliwa kutoka dhambini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana mtu ye yote aliyekufa amewekwa huru mbali na dhambi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana mtu yeyote aliyekufa amehesabiwa haki mbali na dhambi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kwa kuwa yeye aliyekufa amehesabiwa haki mbali na dhambi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa maana, mtu aliyekufa, amenasuliwa kutoka dhambini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani aliyekufa amekwisha kupata wongofu kwa kuondolewa kwenye makosa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kwa kuwa yeye aliyekufa amehesabiwa haki mbali na dhambi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa sababu mutu akikufa anapata uhuru toka katika zambi.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
kwa maana yeye aliyekufa ameachiliwa akawa mbali ya dhambi.