Romans 7:10 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
nami nikafa. Hiyo amri ambayo shabaha yake ilikuwa kuleta uhai, kwangu imeleta kifo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nikaona kwamba ile amri iliyokusudiwa kuleta uzima, ilileta mauti.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nikaona ile amri iletayo uzima ya kuwa kwangu mimi ilileta mauti.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
na hiyo ikawa na maana ya kifo kwangu. Amri ilikusudiwa kuleta uzima, lakini kwangu iliniletea kifo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
nami nikafa. Hiyo amri ambayo shabaha yake ilikuwa kuleta uhai, kwangu imeleta kifo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
nami nikafa. Hiyo amri ambayo shabaha yake ilikuwa kuleta uhai, kwangu imeleta kifo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nikaona kwamba ile amri iliyokusudiwa kuleta uzima, ilileta mauti.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nikaona kwamba ile amri iliyokusudiwa kuleta uzima, ilileta mauti.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nikaona ya kuwa ile amri iletayo uzima kwangu mimi ilileta mauti.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
nami nikafa. Hiyo amri ambayo shabaha yake ilikuwa kuleta uhai, kwangu imeleta kifo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
nami nikafa; hivyo agizo lililotokea, linipe uzima, likaonekana, ya kuwa ni lilo hilo lililoniua.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nikaona ile amri iletayo uzima ya kuwa kwangu mimi ilileta mauti.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
nami nikakufa. Hivi ile amri iliyopasa kuniletea uzima ikaniletea kifo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nikaona ile amri iletayo uzima, ya kuwa kwangu mimi ilileta mauti.