Romans 7:12 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hivyo basi, Torati yenyewe ni takatifu, na amri ni takatifu na ya haki, tena ni njema.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi torati ni takatifu, na ile amri ni takatifu, na ya haki, na njema.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo, sheria ni takatifu na amri ni takatifu, sahihi na nzuri.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, Sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hivyo basi, sheria yenyewe ni takatifu na amri ni takatifu na ya haki, tena ni njema.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hivyo basi, Torati yenyewe ni takatifu, na amri ni takatifu na ya haki, tena ni njema.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi torati ni takatifu, na ile amri ni takatifu, na ya haki, na njema.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo Maonyo ni matakatifu, nalo agizo ni takatifu lenye wongofu na wema.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi torati ni takatifu, na ile amri ni takatifu, na ya haki, na njema.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi Sheria yenyewe ni takatifu na amri ni takatifu, ya haki na nzuri.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi torati ni takatifu na ile amri takatifu ua ya haki na wema.