Romans 8:1 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu kwa wale ambao katika maisha yao wameungana na Kristo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu ya adhabu kwa wale walio ndani ya Al-Masihi Isa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sasa, basi, hakuna hukumu ya adhabu juu yao walio katika Kristo Yesu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo mtu yeyote aliye wa Kristo Yesu hana hukumu ya kifo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu kwa wale ambao katika maisha yao wameungana na Kristo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu kwa wale ambao katika maisha yao wameungana na Kristo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu ya adhabu kwa wale walio ndani ya Kristo Yesu, wale ambao hawaenendi kwa kuufuata mwili bali kwa kufuata Roho.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu ya adhabu kwa wale walio ndani ya Al-Masihi Isa, wale ambao hawaenendi kwa kuufuata mwili bali kwa kufuata Roho.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sasa, basi, hakuna hukumu ya adhabu juu yao walio katika Kristo Yesu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu kwa wale ambao katika maisha yao wameungana na Kristo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Sasa hakuna tena kinachowapatiliza walio katika Kristo Yesu, wasioendelea kimtu, ila Kiroho.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sasa, basi, hakuna hukumu ya adhabu juu yao walio katika Kristo Yesu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi sasa hakuna azabu kwa wale wanaoungana na Yesu Kristo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
SASA, bassi, hapana hukumu juu yao walio katika Kristo Yesu, wasioenenda kwa kufuata mambo ya mwili bali mambo ya roho.