Romans 8:19 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Viumbe vyote vinangojea kwa hamu Mungu awadhihirishe watoto wake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana viumbe vyote vinangoja kwa shauku kudhihirishwa kwa watoto wa Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana viumbe vyote pia vinatazamia kwa shauku nyingi kufunuliwa kwa wana wa Mungu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hata uumbaji una shauku kuu, ukisubiri kwa hamu wakati ambapo atawadhihirisha “watoto halisi wa Mungu” kuwa ni na.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Viumbe vyote vinatazamia kwa hamu Mungu awadhihirishe watoto wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Viumbe vyote vinangojea kwa hamu Mungu awadhihirishe watoto wake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana viumbe vyote vinangoja kwa shauku kudhihirishwa kwa watoto wa Mungu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana viumbe vyote vinangoja kwa shauku kudhihirishwa kwa watoto wa Mungu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana viumbe vyote pia vinatazamia kwa shauku nyingi kufunuliwa kwa wana wa Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Viumbe vyote vinangojea kwa hamu Mungu awadhihirishe watoto wake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani viumbe vyote vinavumilia na kuyachungulia matokeo ya wana wa Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana viumbe vyote pia vinatazamia kwa shauku nyingi kufunuliwa kwa wana wa Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Viumbe vyote vinangojea kwa hamu sana wakati Mungu atakapowaonyesha watoto wake waziwazi.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana viumbe vyote pia vinatazamia kwa shauku nyingi siku ile watakayofunuliwa wanawa Mungu.