Romans 8:36 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Kwa ajili yako, twakikabili kifo kutwa kucha; tunatendewa kama kondoo wa kuchinjwa.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama ilivyoandikwa: “Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa; tumehesabiwa kama kondoo wa kuchinjwa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama ilivyoandikwa, ya kwamba, Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, Tumehesabiwa kuwa kama kondoo wa kuchinjwa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kama Maandiko yanavyosema, “Kwa ajili yako, tunakabiliana na kifo wakati wote. Watu wanadhani hatuna thamani kama kondoo wanaowachinja.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Kwa ajili yako, twakikabili kifo kutwa kucha: tunatendewa kama kondoo wa kuchinjwa.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Kwa ajili yako, twakikabili kifo kutwa kucha; tunatendewa kama kondoo wa kuchinjwa.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama ilivyoandikwa: “Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, tumehesabiwa kama kondoo wa kuchinjwa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama ilivyoandikwa: “Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa; tumehesabiwa kama kondoo wa kuchinjwa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama ilivyoandikwa, ya kwamba, Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, Tumehesabiwa kuwa kama kondoo wa kuchinjwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Kwa ajili yako, twakikabili kifo kutwa kucha; tunatendewa kama kondoo wa kuchinjwa.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndivyo vilivyoandikwa kwamba: Kumbe ni kwa ajili yako wewe, tukiuawa kila siku tukihesabiwa kuwa kama kondoo wa kuchinjwa tu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama ilivyoandikwa, ya kwamba, Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, Tumehesabiwa kuwa kama kondoo wa kuchinjwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema: “Kwa sababu yako tunauawa kila siku. Tunahesabiwa kama kondoo wa kuchinjwa.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kama ilivyoandikwa, ya kama, Kwa ajili yako tunauawa mchana kuchwa, Tumehesabiwa kuwa kama kondoo wa kuchinjwa.