Romans 8:6 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Fikira za mwili huleta kifo; fikira za Roho huleta uhai na amani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana kuwa na nia ya mwili ni mauti, bali kuwa na nia inayoongozwa na Roho wa Mungu ni uzima na amani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa kuwa nia ya mwili ni mauti; bali nia ya roho ni uzima na amani.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ikiwa fikra zenu zinaongozwa na udhaifu wa kibinadamu, kuna kifo cha kiroho. Lakini ikiwa fikra zenu zinaongozwa na Roho, kuna uhai na amani.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Fikira za mwili huleta kifo; fikira za Roho huleta uzima na amani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Fikira za mwili huleta kifo; fikira za Roho huleta uhai na amani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana kuwa na nia ya mwili ni mauti, bali kuwa na nia inayoongozwa na Roho ni uzima na amani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana kuwa na nia ya mwili ni mauti, bali kuwa na nia inayoongozwa na Roho ni uzima na amani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa kuwa nia ya mwili ni mauti; bali nia ya roho ni uzima na amani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Fikira za mwili huleta kifo; fikira za Roho huleta uhai na amani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani mawazo ya kimtu huleta kufa; lakini mawazo ya Kiroho huleta uzima na utengemano.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa kuwa nia ya mwili ni mauti; bali nia ya roho ni uzima na amani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kushugulika na mambo yanayotakiwa na hali ya kimwili kunaleta kifo lakini kushugulika na mambo yanayotakiwa na Roho wa Mungu kunaleta uzima na amani.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa kuwa nia ya mwili ni mauti, bali nia ya roho ni uzima na amani.