Romans 9:12 — Compare Translations

12 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Rebeka aliambiwa kwamba yule mtoto wa kwanza atamtumikia yule wa nyuma. Hivyo uchaguzi wa Mungu unategemea jinsi anavyoita mwenyewe, na si matendo ya binadamu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
si kwa matendo, bali kwa yeye mwenye kuita, Rebeka aliambiwa, “Yule mkubwa atamtumikia yule mdogo.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
aliambiwa hivi, Mkubwa atamtumikia mdogo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Rebeka aliambiwa kwamba yule mtoto wa kwanza atamtumikia yule wa nyuma. Hivyo uchaguzi wa Mungu unategemea jinsi anavyoita mwenyewe, na si matendo ya binadamu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Rebeka aliambiwa kwamba yule mtoto wa kwanza atamtumikia yule wa nyuma. Hivyo uchaguzi wa Mungu unategemea jinsi anavyoita mwenyewe, na si matendo ya binadamu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
si kwa matendo, bali kwa yeye mwenye kuita, Rebeka aliambiwa, “Mkubwa atamtumikia mdogo.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
si kwa matendo, bali kwa yeye mwenye kuita, Rebeka aliambiwa, “Yule mkubwa atamtumikia yule mdogo.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
aliambiwa hivi, Mkubwa atamtumikia mdogo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Rebeka aliambiwa kwamba yule mtoto wa kwanza atamtumikia yule wa nyuma. Hivyo uchaguzi wa Mungu unategemea jinsi anavyoita mwenyewe, na si matendo ya binadamu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Vikawapo, si kwa ajili ya matindo yao, ila kwa wito wake yeye. Kwa hivyo Rebeka aliambiwa: Mkubwa atamtumikia nduguye.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
aliambiwa hivi, Mkubwa atamtumikia mdogo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
si kwa sababu ya matendo, bali kwa sababu ya nia yake aitae aliambiwa hivi, Mkubwa atamtumikia mdogo.