Romans 9:26 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na pale walipoambiwa: ‘Nyinyi si wangu’ hapo wataitwa: ‘Watoto wa Mungu aliye hai.’”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
tena, “Itakuwa hasa mahali pale walipoambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’ wao wataitwa ‘wana wa Mungu aliye hai.’ ”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena itakuwa mahali pale walipoambiwa, Ninyi si watu wangu, Hapo wataitwa wana wa Mungu aliye hai.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Na pale Mungu aliposema zamani: ‘Ninyi si watu wangu’; hapo wataitwa watoto wa Mungu aliye hai.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Na pale walipoambiwa: Ninyi si wangu hapo wataitwa: Watoto wa Mungu hai.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na pale walipoambiwa: ‘Nyinyi si wangu’ hapo wataitwa: ‘Watoto wa Mungu aliye hai.’”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
tena, “Itakuwa hasa mahali pale walipoambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’ wao wataitwa ‘wana wa Mungu aliye hai.’ ”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
tena, “Itakuwa hasa mahali pale walipoambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’ wao wataitwa ‘wana wa Mungu aliye hai.’ ”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena itakuwa mahali pale walipoambiwa, Ninyi si watu wangu, Hapo wataitwa wana wa Mungu aliye hai.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na pale walipoambiwa: ‘Nyinyi si wangu’ hapo wataitwa: ‘Watoto wa Mungu aliye hai.’”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Itakuwa hapo, hao wanaoambiwa sasa: Ninyi ham ukoo wangu, waambiwe: M wanawe Mungu aliye Mwenye uzima.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena itakuwa mahali pale walipoambiwa, Ninyi si watu wangu, Hapo wataitwa wana wa Mungu aliye hai.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na pahali pale walipoambiwa: ‘Ninyi si watu wangu!’ pale wataitwa ‘Watoto wa Mungu Mwenye Uzima.’ ”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na itakuwa mahali pale walipoambiwa, Ninyi si watu wangu, Hapo watakwitwa wana wa Mungu aliye hayi.