Song of Solomon 2:15 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Tukamatieni mbweha, wale mbweha wadogowadogo, wanaoiharibu mizabibu yetu inayochanua.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tukamatie mbweha, mbweha wale wadogo wanaoharibu mashamba ya mizabibu, mashamba yetu ya mizabibu yaliyochanua.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tukamatie mbweha, Wale mbweha wadogo, Waiharibuo mizabibu, Maana mizabibu yetu yachanua.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Tukamatieni mbweha, wale mbweha wadogowadogo, wanaoiharibu mizabibu yetu inayochanua.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tukamatie mbweha, mbweha wadogo wale wanaoharibu mashamba ya mizabibu, mashamba yetu ya mizabibu yaliyochanua.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tukamatie mbweha, mbweha wale wadogo wanaoharibu mashamba ya mizabibu, mashamba yetu ya mizabibu yaliyochanua.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tukamatie mbweha, Wale mbweha wadogo, Waiharibuo mizabibu, Maana mizabibu yetu yachanua.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Tukamatieni mbweha, wale mbweha wadogowadogo, wanaoiharibu mizabibu yetu inayochanua.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tukamatieni nyegere, nyegere wale wadogo! Maana huiharibu mizabibu, nayo mizabibu yetu inachanua.”
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tukamatie mbweha, Wale mbweha wadogo, Waiharibuo mizabibu, Maana mizabibu yetu yachanua.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutukamatie mbweha, wale mbweha wadogowadogo, wanaoharibu mizabibu yetu inayochanua.