Song of Solomon 2:5 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nishibishe na zabibu kavu, niburudishe kwa matofaa, maana naugua kwa mapenzi!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nitie nguvu kwa zabibu kavu, niburudishe kwa matofaa, kwa maana ninazimia kwa mapenzi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nishibisheni zabibu, niburudisheni kwa mapera, Kwa maana nimezimia kwa mapenzi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nishibishe na zabibu kavu, niburudishe kwa matofaa, maana naugua kwa mapenzi!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nitie nguvu kwa zabibu kavu, niburudishe kwa matofaa, kwa maana ninazimia kwa mapenzi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nitie nguvu kwa zabibu kavu, niburudishe kwa matofaa, kwa maana ninazimia kwa mapenzi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nishibisheni zabibu, niburudisheni kwa mapera, Kwa maana nimezimia kwa mapenzi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nishibishe na zabibu kavu, niburudishe kwa matofaa, maana naugua kwa mapenzi!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nitieni nguvu kwa maandazi ya zabibu, kaniinueni kwa machungwa! Kwani mimi ni mgonjwa kwa kupenda sana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nishibisheni zabibu, niburudisheni kwa mapera, Kwa maana nimezimia kwa mapenzi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Munishibishe na zabibu kavu, munifurahishe kwa matunda, maana ninaugua kwa mapenzi!