Song of Solomon 4:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Umefurahisha moyo wangu, dada yangu, bi arusi, umefurahisha moyo wangu, kwa kunitupia jicho mara moja tu, na kwa huo mkufu wako shingoni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Umeiba moyo wangu, dada yangu, bibi arusi wangu; umeiba moyo wangu kwa mtazamo mmoja wa macho yako, kwa kito kimoja cha mkufu wako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Umenishangaza moyo, umbu langu, Bibi arusi, umenishangaza moyo, Kwa mtupo mmoja wa macho yako, Kwa mkufu mmoja wa shingo yako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Umefurahisha moyo wangu, dada yangu, bi arusi, umefurahisha moyo wangu, kwa kunitupia jicho mara moja tu, na kwa huo mkufu wako shingoni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Umeiba moyo wangu, dada yangu, bibi arusi wangu; umeiba moyo wangu kwa mtupo mmoja wa macho yako, kwa kito kimoja cha thamani cha mkufu wako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Umeiba moyo wangu, dada yangu, bibi arusi wangu; umeiba moyo wangu kwa mtazamo mmoja wa macho yako, kwa kito kimoja cha mkufu wako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Umenishangaza moyo, dada yangu, Bibi harusi, umenishangaza moyo, Kwa mtupo mmoja wa macho yako, Kwa mkufu mmoja wa shingo yako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Umefurahisha moyo wangu, dada yangu, bi arusi, umefurahisha moyo wangu, kwa kunitupia jicho mara moja tu, na kwa huo mkufu wako shingoni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Umenipokonya moyo wangu, uliye umbu na mchumba wangu; umenipokonya moyo wangu, kwa kunitazama na jicho lako moja tu, ukanifunga kwa kikufu kimoja, unachokivaa shingoni pako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Umenishangaza moyo, umbu langu, Bibi arusi, umenishangaza moyo, Kwa mtupo mmoja wa macho yako, Kwa mkufu mmoja wa shingo yako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Umeua moyo yangu, dada yangu, muchumba wangu, umeua moyo yangu, kwa kunitupia jicho mara moja tu, na kwa ule mukufu wako katika shingo.