Song of Solomon 5:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nilimfungulia mlango mpenzi wangu, lakini kumbe, alikuwa amekwisha toweka. Moyo wangu ulifurahi alipokuwa akizungumza! Nilimtafuta, lakini sikumpata; nilimwita, lakini hakuniitikia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nilimfungulia mpenzi wangu, lakini mpenzi wangu alishaondoka; alikuwa ameenda zake. Moyo wangu ulishuka kwa kuondoka kwake. Nilimtafuta lakini sikumpata. Nilimwita lakini hakunijibu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nalimfungulia mpendwa wangu, Lakini mpendwa wangu amegeuka amepita; (Nimezimia nafsi yangu aliponena), Nikamtafuta, nisimpate, Nikamwita, asiniitikie.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nilimfungulia mlango mpenzi wangu, lakini kumbe, alikuwa amekwisha toweka. Moyo wangu ulifurahi alipokuwa akizungumza! Nilimtafuta, lakini sikumpata; nilimwita, lakini hakuniitikia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nilimfungulia mpenzi wangu, lakini mpenzi wangu alishaondoka; alikuwa amekwenda zake. Moyo wangu ulishuka kwa kuondoka kwake. Nilimtafuta lakini sikumpata. Nilimwita lakini hakunijibu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nilimfungulia mpenzi wangu, lakini mpenzi wangu alishaondoka; alikuwa amekwenda zake. Moyo wangu ulishuka kwa kuondoka kwake. Nilimtafuta lakini sikumpata. Nilimwita lakini hakunijibu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nilimfungulia mpendwa wangu, Lakini mpendwa wangu amegeuka amepita; (Nimezimia nafsi yangu aliponena), Nikamtafuta, nisimpate, Nikamwita, asiniitikie.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nilimfungulia mlango mpenzi wangu, lakini kumbe, alikuwa amekwisha toweka. Moyo wangu ulifurahi alipokuwa akizungumza! Nilimtafuta, lakini sikumpata; nilimwita, lakini hakuniitikia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini nilipokwisha kumfungulia mpendwa wangu, alikuwa ametoweka kabisa, yeye mpendwa wangu. Hapo aliposema, roho yangu ilitaka kuzimia, kwa hiyo nikamtafuta, lakini sikumwona, nikamwita, lakini hakunijibu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nalimfungulia mpendwa wangu, Lakini mpendwa wangu amegeuka amepita; (Nimezimia nafsi yangu aliponena), Nikamtafuta, nisimpate, Nikamwita, asiniitikie.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nikamufungulia mupenzi wangu mulango, lakini kumbe, alikuwa amekwisha kutoweka. Moyo wangu ulifurahi alipokuwa akizungumuza! Nikamutafuta, lakini sikumupata; nikamwita, lakini hakuniitikia.