Song of Solomon 8:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kama angalikuwa ukuta, tungalimjengea mnara wa fedha; na kama angalikuwa mlango, tungalimhifadhi kwa mbao za mierezi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama yeye ni ukuta, tutajenga minara ya fedha juu yake. Na kama yeye ni mlango, tutamzungushia mbao za mwerezi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama akiwa tu ukuta, Tumjengee buruji za fedha; Na kama akiwa ni mlango, Tumhifadhi kwa mbao za mierezi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kama angalikuwa ukuta, tungalimjengea mnara wa fedha; na kama angalikuwa mlango, tungalimhifadhi kwa mbao za mierezi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama yeye ni ukuta, tutajenga minara ya fedha juu yake. Na kama yeye ni mlango, tutamzungushia mbao za mierezi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama yeye ni ukuta, tutajenga minara ya fedha juu yake. Na kama yeye ni mlango, tutamzungushia mbao za mierezi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama akiwa tu ukuta, Tumjengee buruji za fedha; Na kama akiwa ni mlango, Tumhifadhi kwa mbao za mierezi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kama angalikuwa ukuta, tungalimjengea mnara wa fedha; na kama angalikuwa mlango, tungalimhifadhi kwa mbao za mierezi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
“Tutajenga juu yake kingio la fedha, kama yeye ni ukuta, lakini kama ni mlango tutaufunga kwa mbao za miangati.”
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama akiwa tu ukuta, Tumjengee buruji za fedha; Na kama akiwa ni mlango, Tumhifadhi kwa mbao za mierezi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama angalikuwa ukuta, tungalimujengea munara wa feza; na kama angalikuwa mulango, tungaliupigilia kwa mbao za mierezi.