Titus 3:10 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu anayesababisha mafarakano mpe onyo la kwanza na la pili, kisha achana naye.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu anayesababisha mafarakano, mwonye mara ya kwanza, kisha mwonye mara ya pili. Baada ya hapo, usihusike naye tena.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu aliye mzushi, baada ya kumwonya mara ya kwanza na mara ya pili, mkatae;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mwepuke mtu anayesababisha matengano baada ya onyo la kwanza na la pili,
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mtu anayesababisha mafarakano mpe onyo la kwanza na la pili, kisha achana naye.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu anayesababisha mafarakano mpe onyo la kwanza na la pili, kisha achana naye.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu anayesababisha mafarakano, mwonye mara ya kwanza, kisha mwonye mara ya pili. Baada ya hapo, usihusike naye tena.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu anayesababisha mafarakano, mwonye mara ya kwanza, kisha mwonye mara ya pili. Baada ya hapo, usihusike naye tena.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu aliye mzushi, baada ya kumwonya mara ya kwanza na mara ya pili, tengana naye;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu anayesababisha mafarakano mpe onyo la kwanza na la pili, kisha achana naye.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu mzushi mwonye mara moja, hata mara mbili! Asipoonyeka, mwepuke!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu aliye mzushi, baada ya kumwonya mara ya kwanza na mara ya pili, mkatae;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ujiepushe na mutu anayeleta matengano unapokwisha kumwonya mara mbili.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Mtu mzushi, baada ya kumwonya marra ya kwanza na marra ya pili, mkatae;