Titus 3:6 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu alitumiminia Roho Mtakatifu bila kipimo kwa njia ya Yesu Kristo, Mwokozi wetu,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ambaye Mungu alitumiminia kwa wingi kupitia kwa Isa Al-Masihi Mwokozi wetu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ambaye alitumwagia kwa wingi, kwa njia ya Yesu Kristo Mwokozi wetu;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mungu ametumiminia Roho Mtakatifu kwa wingi kwa njia ya Yesu Kristo Mwokozi wetu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mungu alitumiminia Roho Mtakatifu bila kipimo kwa njia ya Yesu Kristo, Mwokozi wetu,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu alitumiminia Roho Mtakatifu bila kipimo kwa njia ya Yesu Kristo, Mwokozi wetu,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ambaye Mungu alitumiminia kwa wingi kwa njia ya Yesu Kristo Mwokozi wetu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ambaye Mungu alitumiminia kwa wingi kwa njia ya Isa Al-Masihi Mwokozi wetu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ambaye alitumwagia kwa wingi, kwa njia ya Yesu Kristo Mwokozi wetu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu alitumiminia Roho Mtakatifu bila kipimo kwa njia ya Yesu Kristo, Mwokozi wetu,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
hii ndiyo aliyotumiminia, ikatifurikia, alipomtuma mwokozi wetu Yesu Kristo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ambaye alitumwagia kwa wingi, kwa njia ya Yesu Kristo Mwokozi wetu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana Mungu amemimia Roho Mutakatifu kwa uwingi juu yetu kwa njia ya Yesu Kristo Mwokozi wetu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
ambae alitumwagia kwa wingi kwa njia ya Yesu Kristo Mwokozi wetu,