Titus 3:7 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
ili kwa neema yake tupate kukubaliwa kuwa waadilifu na kuupokea uhai wa milele tunaotumainia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ili, tukiisha kuhesabiwa haki kwa neema yake, tupate kuwa warithi tukiwa na tumaini la uzima wa milele.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ili tukihesabiwa haki kwa neema yake, tupate kufanywa warithi wa uzima wa milele, kama lilivyo tumaini letu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kwa neema yake Mungu alituweka huru mbali na dhambi. Akatufanya kuwa warithi wake tulio na tumaini la uzima wa milele.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
ili kwa neema yake tupate kukubaliwa kuwa waadilifu na kuupokea uzima wa milele tunaoutumainia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
ili kwa neema yake tupate kukubaliwa kuwa waadilifu na kuupokea uhai wa milele tunaotumainia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ili kwamba, tukiisha kuhesabiwa haki kwa neema yake, tupate kuwa warithi tukiwa na tumaini la uzima wa milele.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ili kwamba, tukiisha kuhesabiwa haki kwa neema yake, tupate kuwa warithi tukiwa na tumaini la uzima wa milele.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ili tukihesabiwa haki kwa neema yake, tupate kufanywa warithi wa uzima wa milele, kama lilivyo tumaini letu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
ili kwa neema yake tupate kukubaliwa kuwa waadilifu na kuupokea uhai wa milele tunaotumainia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa mema yake yeye, aliyotugawia, tukapata wongofu, tukawekewa nasi urithi wetu penye uzima wa kale na kale, kama tunavyongojea.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ili tukihesabiwa haki kwa neema yake, tupate kufanywa warithi wa uzima wa milele, kama lilivyo tumaini letu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ilifanyika vile, kusudi kwa neema yake tupate kuhesabiwa haki mbele ya Mungu na kuupata uzima wa milele tunaotumainia.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
tukifanyiziwa wema kwa neema yake, tupate kufanywa warithi wa uzima wa milele, kama lilivyo tumaini letu.