Zechariah 13:4 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Siku hiyo, kila nabii atayaonea aibu maono yake anapotabiri. Hawatavaa mavazi ya manyoya ili kudanganya watu,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Katika siku hiyo, kila nabii ataaibika kwa maono ya unabii wake. Hatavaa vazi la kinabii la nywele ili apate kudanganya watu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena itakuwa siku hiyo, ya kwamba manabii, kila mmoja wao, atayaonea haya maono yake atoapo unabii; wala hawatavaa joho ya nywele ili kudanganya watu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Siku hiyo, kila nabii atayaonea aibu maono yake anapotabiri. Hawatavaa mavazi ya manyoya ili kudanganya watu,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Katika siku hiyo, kila nabii ataaibika kwa maono ya unabii wake. Hatavaa vazi la kinabii la nywele ili apate kudanganya watu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Katika siku hiyo, kila nabii ataaibika kwa maono ya unabii wake. Hatavaa vazi la kinabii la nywele ili apate kudanganya watu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena itakuwa siku hiyo, ya kwamba manabii, kila mmoja wao, atayaonea haya maono yake atoapo unabii; wala hawatavaa joho la nywele ili kudanganya watu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Siku hiyo, kila nabii atayaonea aibu maono yake anapotabiri. Hawatavaa mavazi ya manyoya ili kudanganya watu,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Siku hiyo ndipo, wafumbuaji watakapopatwa na soni, kila mmoja kwa ajili ya maono yake, atakapofumbua maneno, tena hatakuwako atakayevaa joho la manyoya ya nyama, apate kusema yaliyo uwongo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena itakuwa siku hiyo, ya kwamba manabii, kila mmoja wao, atayaonea haya maono yake atoapo unabii; wala hawatavaa joho ya nywele ili kudanganya watu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Siku hiyo, kila nabii atapata haya kwa ajili ya maono yake anapotabiri. Hawatavaa nguo za manyoya kwa kudanganya watu,