Zechariah 7:1 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mnamo mwaka wa nne wa utawala wa mfalme Dario, siku ya nne ya mwezi wa tisa, yaani Kislevu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia mimi Zekaria.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Katika mwaka wa nne wa utawala wa Mfalme Dario, neno la Mwenyezi Mungu lilimjia Zekaria siku ya nne ya mwezi wa tisa, mwezi wa Kisleu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ikawa katika mwaka wa nne wa mfalme Dario, neno la Bwana lilimjia Zekaria, siku ya nne ya mwezi wa kenda, yaani, Kisleu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mnamo mwaka wa nne wa utawala wa mfalme Dario, siku ya nne ya mwezi wa tisa, yaani Kislevu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia mimi Zekaria.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Katika mwaka wa nne wa utawala wa Mfalme Dario, neno la BWANA lilimjia Zekaria siku ya nne ya mwezi wa tisa, mwezi wa Kisleu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Katika mwaka wa nne wa utawala wa Mfalme Dario, neno la bwana lilimjia Zekaria siku ya nne ya mwezi wa tisa, mwezi wa Kisleu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikawa katika mwaka wa nne wa mfalme Dario, neno la BWANA lilimjia Zekaria, siku ya nne ya mwezi wa tisa, yaani, Kislevu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mnamo mwaka wa nne wa utawala wa mfalme Dario, siku ya nne ya mwezi wa tisa, yaani Kislevu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia mimi Zekaria.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Katika mwaka wa nne wa mfalme Dario ndipo, neno la Bwana lilipomjia Zakaria siku ya nne ya mwezi wa Kisilewu ulio wa tisa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ikawa katika mwaka wa nne wa mfalme Dario, neno la BWANA lilimjia Zekaria, siku ya nne ya mwezi wa kenda, yaani, Kisleu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Katika mwaka wa ine wa utawala wa mufalme Dario, siku ya ine ya mwezi wa kenda, ni kusema mwezi wa Kisileu, neno la Yawe lilimufikia Zakaria.