Zechariah 7:4 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hapo, neno la Mwenyezi-Mungu wa majeshi likanijia:
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha neno la Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni likanijia kusema:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndipo neno la Bwana wa majeshi likanijia, kusema,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hapo, neno la Mwenyezi-Mungu wa majeshi likanijia:
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha neno la BWANA Mwenye Nguvu Zote likanijia kusema:
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha neno la bwana Mwenye Nguvu Zote likanijia kusema:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndipo neno la BWANA wa majeshi likanijia, kusema,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hapo, neno la Mwenyezi-Mungu wa majeshi likanijia:
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Ndipo, neno la Bwana Mwenye vikosi liliponijia la kwamba:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndipo neno la BWANA wa majeshi likanijia, kusema,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu, neno la Yawe wa majeshi lilinifikia kusema hivi: