Zechariah 7:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Je, mnapokula na kunywa, si mnakula na kunywa kwa ajili yenu wenyewe?’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Na mlipokuwa mkila na kunywa, je, hamkuwa mnasherehekea kwa ajili ya nafsi zenu?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wakati mlapo chakula na kunywa, je! Hamli kwa ajili ya nafsi zenu, na kunywa kwa ajili ya nafsi zenu?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Je, mnapokula na kunywa, si mnakula na kunywa kwa ajili yenu wenyewe?’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Na mlipokuwa mkila na kunywa, je, hamkuwa mnasheherekea kwa ajili ya nafsi zenu?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Na mlipokuwa mkila na kunywa, je, hamkuwa mnasherehekea kwa ajili ya nafsi zenu?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wakati mnapokula chakula na kunywa, je, Hamli kwa ajili ya nafsi zenu, na kunywa kwa ajili ya nafsi zenu?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Je, mnapokula na kunywa, si mnakula na kunywa kwa ajili yenu wenyewe?’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena kama mnakula au kama mnakunywa, Je? Sio ninyi wenyewe mnaokula, tena mnaokunywa?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wakati mlapo chakula na kunywa, je! Hamli kwa ajili ya nafsi zenu, na kunywa kwa ajili ya nafsi zenu?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Munapokula na kunywa, si munakula na kunywa kwa ajili yenu wenyewe?