bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
/
Psalms 106
Psalms 106
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
← Chapter 105
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 67
Chapter 68
Chapter 69
Chapter 70
Chapter 71
Chapter 72
Chapter 73
Chapter 74
Chapter 75
Chapter 76
Chapter 77
Chapter 78
Chapter 79
Chapter 80
Chapter 81
Chapter 82
Chapter 83
Chapter 84
Chapter 85
Chapter 86
Chapter 87
Chapter 88
Chapter 89
Chapter 90
Chapter 91
Chapter 92
Chapter 93
Chapter 94
Chapter 95
Chapter 96
Chapter 97
Chapter 98
Chapter 99
Chapter 100
Chapter 101
Chapter 102
Chapter 103
Chapter 104
Chapter 105
Chapter 106
Chapter 107
Chapter 108
Chapter 109
Chapter 110
Chapter 111
Chapter 112
Chapter 113
Chapter 114
Chapter 115
Chapter 116
Chapter 117
Chapter 118
Chapter 119
Chapter 120
Chapter 121
Chapter 122
Chapter 123
Chapter 124
Chapter 125
Chapter 126
Chapter 127
Chapter 128
Chapter 129
Chapter 130
Chapter 131
Chapter 132
Chapter 133
Chapter 134
Chapter 135
Chapter 136
Chapter 137
Chapter 138
Chapter 139
Chapter 140
Chapter 141
Chapter 142
Chapter 143
Chapter 144
Chapter 145
Chapter 146
Chapter 147
Chapter 148
Chapter 149
Chapter 150
Chapter 107 →
1
Msifuni Mwenyezi Mungu. Mshukuruni Mwenyezi Mungu, kwa kuwa ni mwema; fadhili zake zadumu milele.
2
Ni nani awezaye kusimulia matendo makuu ya Mwenyezi Mungu au kutangaza kikamilifu sifa zake?
3
Heri wale wanaodumisha haki, ambao daima wanafanya yaliyo mema.
4
Ee Mwenyezi Mungu, unikumbuke unapowatendea mema watu wako, uwe msaada wangu unapowaokoa,
5
ili niweze kufurahia mafanikio ya wateule wako, niweze kushiriki katika furaha ya taifa lako, na kuungana na urithi wako katika kukusifu.
6
Tumetenda dhambi, kama vile baba zetu walivyotenda, tumekosa na tumetenda uovu.
7
Baba zetu walipokuwa Misri, hawakuzingatia maajabu yako, wala hawakukumbuka wingi wa fadhili zako, bali waliasi kando ya bahari, ile Bahari ya Shamu.
8
Hata hivyo aliwaokoa kwa ajili ya jina lake, ili apate kudhihirisha uweza wake mkuu.
9
Alikemea Bahari ya Shamu, nayo ikakauka, akawaongoza katika vilindi vyake kama vile jangwani.
10
Aliwaokoa mikononi mwa adui; kutoka mikononi mwa adui aliwakomboa.
11
Maji yaliwafunika adui zao, hakunusurika hata mmoja.
12
Ndipo walipoamini ahadi zake, nao wakaimba sifa zake.
13
Lakini walisahau upesi aliyowatendea, wala hawakungojea ushauri wake.
14
Jangwani walitawaliwa na tamaa zao, walimjaribu Mungu nyikani.
15
Kwa hiyo aliwapa kile walichoomba, lakini akatuma juu yao ugonjwa wa kudhoofisha.
16
Kambini walimwonea wivu Musa, na pia Haruni aliyekuwa amewekwa wakfu kwa Mwenyezi Mungu.
17
Ardhi ilifunguka ikawameza Dathani, ikawazika Abiramu na kundi lake.
18
Moto uliwaka katikati ya wafuasi wao, mwali wa moto uliwateketeza waovu.
19
Huko Horebu walitengeneza ndama, na kuabudu sanamu ya kusubu kwa chuma.
20
Waliubadilisha Utukufu wao kwa sanamu ya fahali, ambaye hula majani.
21
Walimsahau Mungu aliyewaokoa, aliyetenda mambo makuu huko Misri,
22
miujiza katika nchi ya Hamu na mambo ya kutisha huko Bahari ya Shamu.
23
Kwa hiyo alisema kwamba angewaangamiza: kama Musa mteule wake, asingesimama kati yao na Mungu kuizuia ghadhabu yake kuwaangamiza.
24
Kisha waliidharau ile nchi nzuri, hawakuiamini ahadi yake.
25
Walinung’unika ndani ya mahema yao, wala hawakumtii Mwenyezi Mungu.
26
Kwa hiyo akaapa kwa mkono ulioinuliwa kwamba atawafanya waanguke jangwani,
27
kuwatawanya wazao wao waanguke miongoni mwa mataifa, na kuwatawanya katika nchi zote.
28
Walijifunga nira na Baali wa Peori, wakala dhabihu zilizotolewa kwa miungu isiyo na uhai.
29
Waliichochea hasira ya Mwenyezi Mungu, wakamkasirisha kwa matendo yao maovu, nayo tauni ikazuka katikati yao.
30
Lakini Finehasi alisimama na kuingilia kati, nayo tauni ikazuiliwa.
31
Hili likahesabiwa kwake haki, kwa vizazi visivyo na mwisho vijavyo.
32
Kwenye maji ya Meriba, walimkasirisha Mwenyezi Mungu, janga likampata Musa kwa sababu yao;
33
kwa maana walimwasi Roho wa Mungu, na maneno yasiyofaa yakatoka mdomoni kwa Musa.
34
Hawakuyaangamiza yale mataifa kama Mwenyezi Mungu alivyowaagiza,
35
bali walijichanganya na mataifa na wakazikubali desturi zao.
36
Waliabudu sanamu zao, zikawa mtego kwao.
37
Wakawatoa wana wao na binti zao dhabihu kwa mashetani.
38
Walimwaga damu isiyo na hatia, damu za wana wao wa kiume na wa kike, ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani, nayo nchi ikanajisika kwa damu zao.
39
Wakajinajisi wenyewe kwa yale waliyotenda; kwa matendo yao wenyewe wakajifanyia ukahaba.
40
Kwa hiyo Mwenyezi Mungu akawakasirikia watu wake na akauchukia sana urithi wake.
41
Akawakabidhi kwa mataifa na adui zao wakawatawala.
42
Adui zao wakawadhulumu na kuwatia chini ya mkono wao.
43
Mara nyingi aliwaokoa lakini walizama kwenye uasi, na wakajiharibu katika dhambi zao.
44
Lakini akaangalia mateso yao aliposikia kilio chao;
45
kwa ajili yao akakumbuka agano lake, na kutokana na upendo wake mkuu akapooza hasira yake.
46
Akawafanya wahurumiwe na wote waliowashikilia mateka.
47
Ee Mwenyezi Mungu, Mungu wetu, tuokoe. Tukusanye tena kutoka kwa mataifa, ili tuweze kulishukuru jina lako takatifu, na kushangilia katika sifa zako.
48
Atukuzwe Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli, tangu milele na hata milele. Watu wote na waseme, “Amen!” Msifuni Mwenyezi Mungu.
← Chapter 105
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 67
Chapter 68
Chapter 69
Chapter 70
Chapter 71
Chapter 72
Chapter 73
Chapter 74
Chapter 75
Chapter 76
Chapter 77
Chapter 78
Chapter 79
Chapter 80
Chapter 81
Chapter 82
Chapter 83
Chapter 84
Chapter 85
Chapter 86
Chapter 87
Chapter 88
Chapter 89
Chapter 90
Chapter 91
Chapter 92
Chapter 93
Chapter 94
Chapter 95
Chapter 96
Chapter 97
Chapter 98
Chapter 99
Chapter 100
Chapter 101
Chapter 102
Chapter 103
Chapter 104
Chapter 105
Chapter 106
Chapter 107
Chapter 108
Chapter 109
Chapter 110
Chapter 111
Chapter 112
Chapter 113
Chapter 114
Chapter 115
Chapter 116
Chapter 117
Chapter 118
Chapter 119
Chapter 120
Chapter 121
Chapter 122
Chapter 123
Chapter 124
Chapter 125
Chapter 126
Chapter 127
Chapter 128
Chapter 129
Chapter 130
Chapter 131
Chapter 132
Chapter 133
Chapter 134
Chapter 135
Chapter 136
Chapter 137
Chapter 138
Chapter 139
Chapter 140
Chapter 141
Chapter 142
Chapter 143
Chapter 144
Chapter 145
Chapter 146
Chapter 147
Chapter 148
Chapter 149
Chapter 150
Chapter 107 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
69
70
71
72
73
74
75
76
77
78
79
80
81
82
83
84
85
86
87
88
89
90
91
92
93
94
95
96
97
98
99
100
101
102
103
104
105
106
107
108
109
110
111
112
113
114
115
116
117
118
119
120
121
122
123
124
125
126
127
128
129
130
131
132
133
134
135
136
137
138
139
140
141
142
143
144
145
146
147
148
149
150