bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
/
Psalms 104
Psalms 104
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
← Chapter 103
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 67
Chapter 68
Chapter 69
Chapter 70
Chapter 71
Chapter 72
Chapter 73
Chapter 74
Chapter 75
Chapter 76
Chapter 77
Chapter 78
Chapter 79
Chapter 80
Chapter 81
Chapter 82
Chapter 83
Chapter 84
Chapter 85
Chapter 86
Chapter 87
Chapter 88
Chapter 89
Chapter 90
Chapter 91
Chapter 92
Chapter 93
Chapter 94
Chapter 95
Chapter 96
Chapter 97
Chapter 98
Chapter 99
Chapter 100
Chapter 101
Chapter 102
Chapter 103
Chapter 104
Chapter 105
Chapter 106
Chapter 107
Chapter 108
Chapter 109
Chapter 110
Chapter 111
Chapter 112
Chapter 113
Chapter 114
Chapter 115
Chapter 116
Chapter 117
Chapter 118
Chapter 119
Chapter 120
Chapter 121
Chapter 122
Chapter 123
Chapter 124
Chapter 125
Chapter 126
Chapter 127
Chapter 128
Chapter 129
Chapter 130
Chapter 131
Chapter 132
Chapter 133
Chapter 134
Chapter 135
Chapter 136
Chapter 137
Chapter 138
Chapter 139
Chapter 140
Chapter 141
Chapter 142
Chapter 143
Chapter 144
Chapter 145
Chapter 146
Chapter 147
Chapter 148
Chapter 149
Chapter 150
Chapter 105 →
1
Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA. Ee BWANA Mungu wangu, wewe ni mkuu sana, umejivika utukufu na enzi.
2
Amejifunika katika nuru kama vile kwa vazi, amezitandaza mbingu kama hema
3
na kuziweka nguzo za orofa yake juu ya maji. Huyafanya mawingu kuwa gari lake kubwa zuri, na hupanda kwenye mbawa za upepo.
4
Hufanya pepo kuwa wajumbe wake, miali ya moto watumishi wake.
5
Ameiweka dunia kwenye misingi yake, hawezi kamwe kuondoshwa.
6
Uliifunika kwa kilindi kama kwa vazi, maji yalisimama juu ya milima.
7
Lakini kwa kukemea kwako maji yalikimbia, kwa sauti ya radi yako yalikimbia,
8
yakapanda milima, yakatelemka mabondeni, mpaka mahali pale ulipoyakusudia.
9
Uliyawekea mpaka ambao hayawezi kuuvuka, kamwe hayataifunika dunia tena.
10
Hufanya chemchemi zimwage maji mabondeni, hutiririka kati ya milima.
11
Huwapa maji wanyama wote wa kondeni, punda mwitu huzima kiu yao.
12
Ndege wa angani hufanya viota kando ya maji, huimba katikati ya matawi.
13
Huinyeshea milima kutoka orofa zake, dunia inatoshelezwa kwa matunda ya kazi yake.
14
Huyafanya majani ya mifugo yaote, na mimea kwa ajili ya watu kupanda, wajipatie chakula kutoka ardhini:
15
divai ya kuufurahisha moyo wa mwanadamu, mafuta kwa ajili ya kung'arisha uso wake na mkate wa kutia mwili nguvu.
16
Miti ya BWANA inanyeshewa vizuri, mierezi ya Lebanoni aliyoipanda.
17
Humo ndege hufanya viota vyao, korongo ana nyumba yake kwenye msunobari.
18
Milima mirefu ni makao ya mbuzi-mwitu, majabali ni kimbilio la pelele.
19
Mwezi hugawanya majira, na jua hutambua wakati wake wa kutua.
20
Unaleta giza, kunakuwa usiku, wanyama wote wa mwituni huzungukazunguka.
21
Simba hunguruma kwa mawindo yao, na kutafuta chakula chao kutoka kwa Mungu.
22
Jua huchomoza, nao huondoka kwa kunyata, hurudi na kulala katika mapango yao.
23
Kisha mwanadamu hutoka nje na kwenda kazini kwake, katika kazi yake mpaka jioni.
24
Ee BWANA, jinsi gani zilivyo nyingi kazi zako! Kwa hekima ulizifanya zote, dunia imejaa viumbe vyako.
25
Pale iko bahari, kubwa na yenye nafasi tele, imejaa viumbe visivyo na idadi, vitu vyenye uhai vikubwa na vidogo.
26
Huko meli huenda na kurudi, pia Lewiathani, uliyemwumba acheze ndani yake.
27
Hawa wote wanakutazama wewe, uwape chakula chao kwa wakati wake.
28
Wakati unapowapa, wanakikusanya, unapofumbua mkono wako, wao wanashibishwa mema.
29
Unapoficha uso wako, wanapata hofu, unapoondoa pumzi yao, wanakufa na kurudi mavumbini.
30
Unapopeleka Roho wako, wanaumbwa, nawe huufanya upya uso wa dunia.
31
Utukufu wa BWANA na udumu milele, BWANA na azifurahie kazi zake,
32
yeye aitazamaye dunia, nayo ikatetemeka, aigusaye milima nayo ikatoa moshi.
33
Nitamwimbia BWANA maisha yangu yote; nitaimba sifa kwa Mungu wangu muda wote ninaoishi.
34
Kutafakari kwangu na kumpendeze yeye, ninapofurahi katika BWANA.
35
Lakini wenye dhambi na watoweke katika dunia na waovu wasiwepo tena. Ee nafsi yangu, Msifu BWANA. Mhimidini BWANA.
← Chapter 103
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 67
Chapter 68
Chapter 69
Chapter 70
Chapter 71
Chapter 72
Chapter 73
Chapter 74
Chapter 75
Chapter 76
Chapter 77
Chapter 78
Chapter 79
Chapter 80
Chapter 81
Chapter 82
Chapter 83
Chapter 84
Chapter 85
Chapter 86
Chapter 87
Chapter 88
Chapter 89
Chapter 90
Chapter 91
Chapter 92
Chapter 93
Chapter 94
Chapter 95
Chapter 96
Chapter 97
Chapter 98
Chapter 99
Chapter 100
Chapter 101
Chapter 102
Chapter 103
Chapter 104
Chapter 105
Chapter 106
Chapter 107
Chapter 108
Chapter 109
Chapter 110
Chapter 111
Chapter 112
Chapter 113
Chapter 114
Chapter 115
Chapter 116
Chapter 117
Chapter 118
Chapter 119
Chapter 120
Chapter 121
Chapter 122
Chapter 123
Chapter 124
Chapter 125
Chapter 126
Chapter 127
Chapter 128
Chapter 129
Chapter 130
Chapter 131
Chapter 132
Chapter 133
Chapter 134
Chapter 135
Chapter 136
Chapter 137
Chapter 138
Chapter 139
Chapter 140
Chapter 141
Chapter 142
Chapter 143
Chapter 144
Chapter 145
Chapter 146
Chapter 147
Chapter 148
Chapter 149
Chapter 150
Chapter 105 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
69
70
71
72
73
74
75
76
77
78
79
80
81
82
83
84
85
86
87
88
89
90
91
92
93
94
95
96
97
98
99
100
101
102
103
104
105
106
107
108
109
110
111
112
113
114
115
116
117
118
119
120
121
122
123
124
125
126
127
128
129
130
131
132
133
134
135
136
137
138
139
140
141
142
143
144
145
146
147
148
149
150