bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Ezekiel 2
Ezekiel 2
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 1
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 3 →
1
Akaniambia: Wewe mwana wa mtu, simama kwa miguu yako, niseme na wewe!
2
Aliposema na mimi, roho ikanijia, ikanipa kusimama kwa miguu yangu, nikamsikia aliyesema na mimi.
3
Akaniambia: Wewe mwana wa mtu, mimi ninakutuma kwa wana wa Isiraeli walio mataifa makatavu, walionikataa mimi, wao wenyewe na baba zao wamenikosea mpaka leo.
4
Hawa wana nao ni wenye nyuso zishupaazo na wenye mioyo migumu. Sasa mimi ninakutuma kwao, uwaambie: Hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema!
5
Nao ikiwa wanasikia, au ikiwa wanaacha kusikia, kwani ndio mlango mkatavu, lakini watajua, ya kuwa yuko mfumbuaji katikati yao.
6
Nawe mwana wa mtu, usiwaogope! Wala maneno yao usiyaogope! Ijapo miiba ikuchome, ijapo ukae penye nge, usiyaogope maneno yao! Wala usizistuke nyuso zao! Kwani ndio mlango mkatavu.
7
Sharti uwaambie maneno yangu, ikiwa wanasikia, au ikiwa wanaacha kusikia, kwani ndio wakatavu.
8
Nawe mwana wa mtu, yasikie, mimi ninayokuambia! Usiwe mkatavu kama mlango huu mkatavu! Kifumbue kinywa chako, ule, mimi nitakachokupa!
9
Nilipotazama nikaona mkono nilionyosewa mimi, namo mwake nikaona kitabu kilichozingwa.
10
Akakizingua, nacho kilikuwa kimeandikwa upande wa mbele na wa nyuma; nayo yaliyoandikwa humo yalikuwa maombolezo na masikitiko na vilio.
← Chapter 1
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 3 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48