bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 50
Isaiah 50
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 49
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 51 →
1
Hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Kiko wapi cheti cha kuachana, nilichompa mama yenu nilipomtuma kujiendea? Au yuko nani aliyenidai, nikawauza ninyi kwake? Tazameni: Mmeuzwa kwa ajili ya manza zenu, mlizozikora; tena ni kwa ajili ya mapotovu yenu, mama yenu akitumwa kujiendea.
2
Ilikuwaje, nisione mtu nilipofika? Au nilipoita, asijibu mtu? Je, Mokono wangu ulikuwa mfupi, usiweze kukomboa? Au je? Sinazo nguvu za kuponya? Tazameni! Kwa nguvu za makemeo yangu naikausha bahari, nayo mito naigeuza kuwa jangwa, samaki wao wanuke kwa kukosa maji wanapokufa kwa kiu.
3
Mbingu nazivika weusi, ninapozifunika kama kwa gunia.
4
Bwana Mungu amenipa ulimi uliojifunza, mpaka ukijua kuegemeza mchovu kwa kusema naye, huniamsha kunapokucha, huliamsha sikio langu, lisikilize, kama wenye kujifunza wanavyosikiliza.
5
Bwana Mungu amenizibua sikio, nami sikukataaa, wala sikurudi nyuma.
6
Mgongo wangu nimeuelekezea wao walionipiga, nayo mashavu yangu wao walioning'oa ndevu, uso wangu sikuufichia wao walionitweza, ndio wao walionitemea mate.
7
Bwana Mungu akanisaidia, kwa hiyo sikutwezeka, kwa hiyo nikaushupaza uso wangu kuwa kama jiwe la moto, nikajua, ya kuwa sitaiva uso.
8
Yuko karibu atakayenishindisha; yuko nani atakayenigombeza? Na tutokee kusimama pamoja! Yuko nani atakayenipeleka shaurini? Na aje, twende!
9
Na mwone, ya kuwa Bwana Mungu ananisaidia! Yuko nani atakayenishinda? Na mwone, ya kuwa hawa wote watachakaa kama nguo, ikiliwa na nondo!
10
Yuko nani kwenu anayemwogopa Bwana? Yuko nani kwenu anayeisikiliza sauti ya mtumishi wake? Akienda gizani pasipo kumulikiwa na aliegemee Jina la Bwana! Na ajikongojee Mungu wake!
11
Sasa ninyi nyote mnaowasha moto, mwikoleze mishale ya moto, nendeni kuunguzwa na moto wenu, mishale, mliyoiwasha, iwachome moto! Hayo yatatokea mkononi mwangu, yawajie, mlazwe mahali panapoumiza.
← Chapter 49
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 51 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66