bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Jeremiah 10
Jeremiah 10
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 9
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 11 →
1
Lisikieni neno, Bwana alilowaambia ninyi wa mlango wa Isiraeli!
2
Hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Msijifundishe kuzishika njia za wamizimu! Wala vielekezo vya mbinguni msivistuke, kwa kuwa wamizimu wanavistuka!
3
Kwani miiko ya watu wa kimizimu ni kitu pasipo maana; kwani hukata mti wa mwituni, mikono ya fundi ikautengeneza kwa tezo.
4
Kisha huupamba kwa fedha na kwa dhahabu, akautia nguvu kwa misumari na nyundo, usitukutike.
5
Huwa kama nguzo tu iliyofunikizwa, hausemi; sharti uchukuliwe, kwani hauendi. Msiiogope! Kwani haifanyi kibaya, wala haina nguvu ya kutupatia mema.
6
Hakuna afananaye na wewe, Bwana! Mkuu ndiwe wewe, nalo Jina lako ni kuu lenye nguvu.
7
Yuko nani asiyepaswa na kukuogopa, uliye mfalme wa wamizimu? Inakupasa kweli, uogopwe; kwani miongoni mwa werevu wote wa kimizimu, hata katika nchi za kifalme zote hakuna afananaye na wewe.
8
Wote pamoja ni wajinga na wapumbavu, mafundisho yao wasio kitu ndiyo mti mtupu!
9
Mabati ya fedha yaliyopigwa nyundo huletwa toka Tarsisi, nayo ya dhahabu hutoka Ufazi, mafundi huyatengeneza, kisha mikono ya wafua dhahabu huyaseneza. Mavazi yao ni nguo za kifalme, nyeusi na nyekundu. Yote pia ni kazi za mafundi wazijuao kazi zao.
10
Lakini Bwana ndiye Mungu kweli, yeye ni Mungu Mwenye uzima na mfalme wa kale na kale. Ukali wake huitetemesha nchi, wamizimu hawawezi kuyavumilia machafuko yake.
11
Kwa hiyo mtawaambia: Miungu isiyoziumba mbingu na nchi sharti iangamie ulimwenguni chini ya mbingu.
12
Yeye ndiye aliyeifanya nchi kwa uwezo wake, akausimika ulimwengu kwa werevu wake wa kweli, akazitanda mbingu kwa utambuzi wake.
13
Huvumisha maji mbinguni kwa ngurumo na kupandisha mawingu yatokayo mapeoni kwa nchi, kisha hupiga umeme kwenye mvua na kutoa upepo huko, alikouweka.
14
Ndipo, kila mtu anapopumbaa tu, asijue yatokako, hata kila mfua dhahabu hupatwa na soni kwa ajili ya kinyago chake, kwani alichokitengeneza ni uwongo tu, hata pumzi haimo.
15
Havina maana, ni kazi ya kuchekwa tu; siku vitakapopatilizwa huangamia.
16
Lakini aliye fungu lake Yakobo hafanani navyo, kwani yeye ndiye aliyeyatengeneza yote, naye Isiraeli ni ukoo uliopata fungu kwake; Bwana Mwenye vikosi ni Jina lake.
17
Yakusanye yaliyo yako katika nchi hii, wewe ukaaye bomani bado!
18
Kwani hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Mtaniona mara hii, nikiwatupa kwa nguvu wakaao katika nchi hii, nitawasonga, wapate kuona!
19
A, nimevunjika! Pigo langu halitapona! Nasema mwenyewe: Haya ndiyo manyonge yangu, sharti niyavumilie.
20
Hema langu limeharibika, nazo kamba zangu zote zimekatika; watoto wangu wametoka kwangu, hawako; hakuna atakayelipiga hema langu tena na kuziwamba nguo zangu za hema.
21
Kwani wachungaji wangu wamepumbaa, hawakumtafuta Bwana, kwa hiyo hawakuerevuka, nalo kundi lao lote likatawanyika.
22
Sikilizeni! Sauti zinasikilika zinazokuja, ni uvumi mkubwa sana upande wa kaskazini! Wanataka kuigeuza miji ya Yuda kuwa mapori tu na makao ya mbwa wa mwitu.
23
Ninajua, Bwana, ya kuwa mtu siye anayeilinganya njia yake, wala mtu aendaye siye anayeushupaza mwenendo wake.
24
Nipige, Bwana, mapigo yapasayo! Usinipige kwa ukali wako, usiniangamize!
25
Makali yako yenye moto yamwage penye wamizimu wasiokujua, napo penye koo za watu wasiolitambikia Jina lako! Kwani wamemla Yakobo, kweli wamemla na kummaliza, nayo makao yake wameyageuza kuwa mapori tu.
← Chapter 9
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 11 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52