bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Jeremiah 12
Jeremiah 12
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 11
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 13 →
1
Wewe Bwana hushinda, nikiulizana wa wewe; lakini na tusemeane hukumu zipasazo! Mbona njia zao wasiokucha huendelea vema, nao wadanganyifu wanaodanganya hutengemana?
2
Uliwapanda, wakatia mizizi; huendelea kukua, mpaka wakizaa matunda. Wewe u karibu vinywani mwao, lakini u mbali mioyoni mwao.
3
Nawe Bwana unanijua, ukaniona, ukanijaribu moyo wangu, kama u kwako. Wakamate kama kondoo wa kuchinjwa, kawachagulie, wawe tayari siku ya kuchinjwa!
4
Nchi na iomboleze mpaka lini, majani ya mashamba yote yakinyauka? Kwa ajili ya ubaya wao waikaao hata nyama na ndege wametoweka, nao husema: Hatauona mwisho wetu!
5
Kama waendao kwa miguu wamekuchokesha, ulipokimbizana nao, utawezaje kushindana na farasi? Tena: Wewe ukitulia tu katika nchi itengemanayo utafanyaje ukikaa katika machaka makuu ya Yordani?
6
Kwani nao ndugu zako nao mlango wa baba yako hukudanganya, kweli hawa nao hupaza sauti za kupiga kelele nyuma yako; usiwategemee! Kwani usoni pako husema mema.
7
Nimeiacha Nyumba yangu, nikalitupa fungu langu, nikayatoa, roho yangu iliyopendezwa nayo, nikayatia mikononi mwa adui zao.
8
Fungu langu likaniwia kama simba wa mwituni: Ameningurumia, kwa hiyo nimechukiwa naye.
9
Je? Fungu langu ni kama bundi, ambaye makunguru humkusanyikia po pote? Nendeni kuwakusanya nyama wote wa porini! Kisha waleteni, wale!
10
Wachungaji wengi wameiharibu mizabibu yangu, wakalikanyagakanyaga fungu langu; fungu langu, nililopendezwa nalo sana, wameligeuza kuwa mapori kama ya nyikani.
11
Kweli wameligeuza kuwa peke yake tu; hivyo lilivyo peke yake linanililia, nchi hii nzima iko peke yake, kwa kuwa hakuwako mtu aliyeyaweka hayo moyoni.
12
Milimani po pote katika nyika wenye kuiharibu nchi wamefika; kwani Bwana yuko na upanga ulao; huanzia kula kwenye mpaka mmoja wa nchi, hata ufike kwenye mpaka mwingine. Ndipo, wote wenye miili wanapokosa kutengemana.
13
Walipopanda ngano huvuna miiba; hujisumbua, lakini hawapati kitu. Ndivyo, mtakavyopatwa na soni kwa ajili ya mavuno yenu, moto wa makali yake Bwana utakapowaka.
14
Hivi ndivyo, Bwana anavyosema kwa ajili ya wabaya wote, tuliokaa nao, waliolitwaa fungu lile, nililowapa wao walio ukoo wangu wa Isiraeli, liwe fungu lao: Wataniona, nikiwang'oa katika nchi yao, tena nikiwang'oa walio wa mlango wa Yuda katikati yao!
15
Itakuwa, nitakapokwisha kuwang'oa nitawahurumia tena, niwarudishe kila mmoja penye fungu lake, kila mmoja katika nchi yake.
16
Tena itakuwa, kama wale watajifundisha vema njia zao walio ukoo wangu, waape na kulitaja Jina langu na kusema: Hivyo, Bwana alivyo Mwenye uzima, kama wenyewe walivyowafundisha walio ukoo wangu kuapa na kumtaja Baali, basi, ndipo, watakapojengwa katikati yao walio ukoo wangu.
17
Lakini kama hawasikii, nitaling'oa taifa hilo kabisa, liangamie; ndivyo, asemavyo Bwana.
← Chapter 11
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 13 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52