bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Jeremiah 19
Jeremiah 19
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 18
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 20 →
1
Hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Nenda, ujinunulie mtungi kwa mfinyanzi! Kisha chukua wazee wa watu na wazee wa watambikaji,
2
utoke nao kwenda katika bonde la Mwana wa Hinomu lililoko mbele ya Lango la Vigae, utangaze huko maneno, nitakayokuambia!
3
Uwaambie: Lisikilizeni neno la Bwana, ninyi wafalme wa Yuda nanyi mkaao Yerusalemu! Hivi ndivyo, Bwana Mwenye vikosi, Mungu wa Isiraeli, anavyosema: Mtaniona, nikipaletea mahali hapa mabaya; kila atakayeyasikia masikio yake yatavuma.
4
Ni kwa sababu wameniacha, mahali hapa wakampa mgeni, wakavukizia hapa miungu mingine, wasiyoijua wenyewe, wala baba zao, wala wafalme wa Yuda, wakapajaza mahali hapa damu zao wasiokosa.
5
Wakamjengea Baali pa kumtambikia vilimani juu, wateketeze wana wao motoni kuwa ng'ombe za tambiko za Baali; nami sikuwaagiza hivyo, wala sikuvisema nao, wala havikunijia moyoni.
6
Kweli ndivyo, asemavyo Bwana: Mtaona, siku zikija, mahali hapa pasiitwe tena Tofeti wala Bonde la Mwana wa Hinomu, ila Bonde la Uuaji.
7
Ndipo, nitakapoiumbua miungu ya Wayuda na ya Wayerusalemu mahali hapo nikiwatoa, waangushwe na panga machoni pa adui zao kwa mikono yao waliozitafuta roho zao, nayo mizoga yao nitawapa ndege wa angani na nyama wa porini, iwe chakula chao.
8
Nao mji huu nitaugeuza kuwa mapori tu, uzomelewe kabisa; kila atakayepapita ataustukia, atauzomea kwa ajili ya mapigo yake yote.
9
Nitawalisha nyama za wana wao wa kiume na nyama za wana wao wa kike, watazila kila mtu nyama za mwenziwe kwa kusongeka na kwa kuhangaika, adui zao wanaozitaka roho zao wakiwahangaisha.
10
Kisha utauvunja mtungi machoni pao waume waliokwenda na wewe,
11
ukiwaambia: Hivi ndivyo, Bwana Mwenye vikosi anavyosema: Hivi ndivyo, nitakavyowavunja walio wa ukoo huu nao mji huu, kama mtu anavyokivunja chombo cha mfinyanzi kisichowezekana kuwa kizima tena. Nako Tofeti ndiko, watakakozikia, kwa kukosa pengine pa kuzikia.
12
Ndivyo, asemavyo Bwana: Hivi ndivyo, nitakavyopafanyizia mahali hapa nao wakaao hapa nitakapoutoa mji huu, uwe kama Tofeti.
13
Ndipo, nyumba za Yerusalemu na nyumba za wafalme wa Yuda zitakapokuwa zimetiwa uchafu kama mahali pa Tofeti, Zitakazokuwa hivyo ni nyumba zote, walimovukizia vikosi vyote vya mbinguni madarini juu, walimomwagia miungu mingine vinywaji vya tambiko.
14
Yeremia aliporudi toka Tofeti, Bwana alikomtuma kuwafumbulia watu, akaja kusimama uani pake Nyumba ya Bwana, akawaambia watu wote waliokuwako:
15
Hivi ndivyo, Bwana Mwenye vikosi, Mungu wa Isiraeli, anavyosema: Mtaniona, nikiuletea mji huu navyo vijiji vyake vyote mabaya yote, niliyoyasema, kwani wamezishupaza kosi zao, wasiyasikie maneno yangu.
← Chapter 18
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 20 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52