bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Jeremiah 21
Jeremiah 21
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 20
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 22 →
1
Hili ndilo neno lililotoka kwa Bwana, likamjia Yeremia, mfalme Sedekia alipomtuma Pashuri, mwana wa Malkia, na mtambikaji Sefania, mwana wa Masea, kwenda kwake kwamba:
2
Mwulize Bwana kwa ajili yetu, kwani Nebukadinesari, mfalme wa Babeli, ametuletea vita. Labda Bwana atatufanyizia nasi, kama mataajabu yake yote yalivyo, akiwaondoa kwetu.
3
Yeremia akawaambia: Hivi ndivyo, mmwambie Sedekia:
4
Hivi ndivyo, Bwana Mungu wa Isiraeli anavyosema: Mtaniona, nikivirudisha vyombo vya vita vilivyo mikononi mwenu, mlivyovitumia kupiga vita na mfalme wa Babeli na Wakasidi wanaowasonga! Nitavitoa huko nje, nivilete kwenye boma, kisha nitavikusanya humu mjini katikati.
5
Nami mwenyewe nitapigana nanyi kwa kiganja kilichofumbuka cha mkono ulio wenye nguvu kwa kuwa na makali yenye moto na machafuko makubwa.
6
Nitawatoa wakaao humu mjini, watu hata nyama, watakufa kwa ugonjwa mbaya uuao kabisa.
7
Ndivyo, asemavyo Bwana: Hayo yatakapokwisha, nitamtoa Sedekia, mfalme wa Yuda, pamoja na watumishi wake nao walio wa ukoo huu waliosalia humu mjini kwa ule ugonjwa mbaya na kwa panga na kwa njaa, nitawatia mikononi mwa Nebukadinesari, mfalme wa Babeli, nami mikononi mwa adui zao namo mikononi mwao wanaozitafuta roho zao, naye atawapiga kwa ukali wa upanga, hatawaonea uchungu, wala hatawachagulia, wala hatawahurumia.
8
Nao walio wa ukoo huu utawaambia: Hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Nitazameni! Ninalinganya machoni penu njia ya uzima na njia ya kufa.
9
Atakayekaa humu mjini atakufa kwa upanga na kwa njaa na kwa magonjwa mabaya. Lakini atakayetoka na kuwaangukia Wakasidi wanaowasonga atapona, nayo roho yake itakuwa pato lake.
10
Kwani nimeuelekeza uso wangu kwenye mji huu, niupatie mabaya, mema siyo; utatiwa mkononi mwake mfalme wa Babeli, auteketeze kwa moto; ndivyo, asemavyo Bwana.
11
Nao wa mlango wa mfalme wa Yuda waambie: Lisikieni neno la Bwana!
12
Hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Ninyi wa mlango wa Dawidi, asubuhi pigeni mashauri, mwaponye walionyang'anywa mkiwatoa mikononi mwa wakorofi, makali yangu yasitokee kuwa moto uwakao, asipopatikana mwenye kuuzima kwa ajili ya ubaya wa matendo yenu!
13
Ndivyo, asemavyo Bwana: Utaniona, nikikujia wewe ukaaye bondeni, uliye kama mwamba mbugani. Ninyi husema: Yuko nani atakayetushukia? Yuko nani atakayeingia katika makao yetu?
14
Mimi nitawapatiliza, kama matendo yenu yalivyowapatia; ndivyo, asemavyo Bwana. Nitawasha moto mwituni kwao utakaozila nchi zote ziwazungukazo.
← Chapter 20
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 22 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52