bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Jeremiah 30
Jeremiah 30
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 29
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 31 →
1
Hili ndilo neno lililomjia Yeremia likitoka kwa Bwana kwamba:
2
Hivi ndivyo, Bwana Mungu wa Isiraeli anavyosema kwamba: Yaandike hayo maneno yote, niliyokuambia katika kitabu!
3
Kwani ndivyo, asemavyo Bwana: Tazama! Siku zitakuja, nitakapoyafungua mafungo yao walio ukoo wangu wa Isiraeli na wa Yuda, niwarudishe katika ile nchi, niliyowapa baba zao, nayo itakuwa yao tena; ndivyo, Bwana anavyosema.
4
Haya ndiyo maneno, Bwana aliyoyasema kwa ajili ya Isiraeli na ya Yuda,
5
kwani hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Tumesikia sauti ya kustusha na kushangaza, hakuna penye utengemano.
6
Ulizeni, mwone, kama yuko mwanamume atakayezaa! Mbona nimewaona waume wote wakitia mikono yao viunoni pao kama mwanamke anayetaka kuzaa? Mbona nyuso zote zimegeuka, zikachujuka?
7
Kumbe siku hiyo ni kubwa, hakuna ifananayo nayo; ndipo, Yakobo anaposongeka, lakini napo atapatoka, aokoke.
8
Ndivyo, asemavyo Bwana Mwenye vikosi: Itakuwa siku ile, nitakapoyavunja makongwa shingoni pako na kuyararua mafungo yako, wageni wasiwatumikishe tena.
9
Ila watamtumikia Bwana Mungu wao na Dawidi, mfalme wao, nitakayemwinua kwao.
10
Ndivyo, asemavyo Bwana: Nawe, mtumishi wangu Yakobo, usiogope, wala usistuke, Isiraeli! Kwani utaniona, nikikuokoa na kukutoa katika nchi za mbali, nacho kizazi chako nitakitoa katika nchi, walikofungiwa. Yakobo atarudi, atatulia pasipo kusumbuliwa, kwani hakuna atakayemhangaisha.
11
Kwani mimi niko pamoja na wewe nikuokoe; ndivyo, asemavyo Bwana. Kwani nitayamaliza mataifa yote, ambayo nimekutawanya kwao, wewe peke yako sitakumaliza, nitakuchapa tu, kama yakupasavyo, nisikuache pasipo patilizo lo lote.
12
Kwani hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Kidonda chako hakiwezekani, pigo lako haliponi.
13
Hakuna akupigiaye shauri, alitoe jipu lako usaha; hakuna dawa ya kubandika, ikuponye.
14
Wote waliokupenda wamekusahau, hawakuulizi tena, kwani nimekupiga, kama ninavyopiga mchukivu, nimekuchapa pasipo huruma, kwa kuwa ulifanya maovu mengi, kweli makosa yako ni makali.
15
Mbona unakililia kidonda chako, ya kuwa maumivu yako hayawezekani? Nimekufanyizia hayo, kwa kuwa ulifanya maovu mengi, nayo makosa yako ni makali.
16
Kweli wote waliokula wewe wataliwa, nao wote waliokusonga watakwenda kufungwa; waliokunyang'anya nao watanyang'anywa, nao wote waliopokonya mali zako nitawatoa, wapokonywe nao mali zao.
17
Kwani ndivyo, asemavyo Bwana: Nitakupatia uzima tena, hata vidonda vyako nitaviponya, kwa kuwa wewe Sioni wamekuita Mfukuzwa kwa kwamba: Hakuna anayemwuliza.
18
Hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Mtaniona, nikiyafungua mafungo ya mahema yake Yakobo, nikiyahurumia makao yake; nao mji utajengwa tena juu ya chungu zake, hata jumba kuu litakaa, kama yalipasavyo.
19
Namo mwao zitatoka nyimbo za kushukuru na sauti zao wachekao; nami nitawapa kuwa wengi, wasiwe wachache, nitawapa utukufu, wasibezwe.
20
Nao watoto wao watakuwa kama kale; nalo kundi lao la watu litapata nguvu usoni pangu, nao wote waliowakorofisha nitawapatiliza.
21
Mkuu wao atakuwa mtu wa kwao; atakayewatawala atatoka katikati yao; nami nitamfikisha, anijie karibu, kwani yuko nani ajipaye moyo wa kunijia mwenyewe? ndivyo, asemavyo Bwana.
22
Nanyi mtakuwa ukoo wangu, nami nitakuwa Mungu wenu.
23
Mtakiona kimbunga cha Bwana, hata makaa yenye moto yakitoka kwake, nao upepo wa chamchela wenye nguvu utawaangukia vichwani wao wasiomcha Mungu.
24
Ukali wake Bwana wenye moto hautatulia, mpaka uyafanye na kuyatimiza mawazo ya moyo wake; siku za mwisho mtayatambua haya.
← Chapter 29
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 31 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52