bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Jeremiah 35
Jeremiah 35
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 34
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 36 →
1
Hili ndilo neno lililomjia Yeremia likitoka kwa Bwana siku za Yoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, kwamba:
2
Nenda nyumbani mwao Warekabu kusema nao, uwapeleke Nyumbani mwa Bwana katika ukumbi mmoja, uwape mvinyo, wanywe.
3
Nikamchukua Yazania, mwana wa Yeremia, mwana wa Habasinia, pamoja na ndugu zake na wanawe wote nao wote walio wa mlango wa Warekabu.
4
Nikawapeleka Nyumbani mwa Bwana katika ukumbi wa wana wa Hanani, mwana wa Igidalia, aliyekuwa mtu wa Mungu. Nao ukumbi huo ulikuwa kando ya ukumbi wa wakuu uliokuwa juu ya ukumbi wa Masea, mwana wa Salumu, aliyekuwa mlinda kizingiti.
5
Kisha nikaweka mbele yao walio wa mlango wa Warekabu mitungi iliyojaa mvinyo na vikombe, nikawaambia: Nyweni mvinyo!
6
Wakajibu: Hatunywi mvinyo, kwani Yonadabu, mwana wa baba yetu Rekabu, alituagiza kwamba: Msinywe mvinyo ninyi na wana wenu kale na kale!
7
Wala msijenge nyumba, wala msimwage mbegu, wala msipande mizabibu, wala msiwe nayo! Ila mkae mahemani siku zenu zote, mpate kuwapo siku nyingi huku nchini, mliko wageni ninyi.
8
Tukaisikia sauti ya Yonadabu, mwana wa baba yetu Rekabu, katika mambo yote, aliyotuagiza, tusinywe mvinyo sisi wala wake zetu wala wana wetu wa kiume na wa kike:
9
hatujengi nyumba za kukaa humo, wala mizabibu wala mashamba wala mbegu hatunazo.
10
Tunakaa mahemani, kwani tumeyasikia, tukayafanya yote, kama baba yetu Yonadabu alivyotuagiza.
11
Ikawa, Nebukadinesari, mfalme wa Babeli, alipopanda katika nchi hii, ndipo, tuliposema: Haya! Na tuje kwenda Yerusalemu na kuvikimbia vikosi vya Wakasidi na vya Washami! Basi, tukakaa Yerusalemu.
12
Neno la Bwana likamjia Yeremia kwamba:
13
Hivi ndivyo, Bwana Mungu wa Isiraeli anavyosema: Nenda kuwaambia watu wa Yuda nao wakaao Yerusalemu: Je? Hamtaki kuonyeka, myasikie maneno yangu? Ndivyo, asemavyo Bwana:
14
Maneno yake Yonadabu, mwana wa Rekabu, aliyowaagiza wanawe, wasinywe mvinyo, yametimizwa nao: hawanywi mvinyo hata siku hii ya leo, kwani wamelisikia agizo la baba yao. Mimi nami nimesema nanyi pasipo kuchoka kila kulipokucha, lakini hamkunisikia.
15
Nikatuma kwenu watumishi wangu wote walio wafumbuaji pasipo kuchoka kila kulipokucha kwamba: Rudini kila mtu katika njia yake mbaya na kufanya matendo mema! Msifuate miungu mingine kuitumikia! Ndipo, mtakaporudi katika nchi, niliyowapa baba zenu! Lakini hamkuyatega masikio yenu, wala hamkunisikia.
16
Kweli, wana wa Yonadabu, mwana wa Rekabu, wamelitimiza agizo la baba yao, alilowaagiza; lakini wao wa ukoo huu hawanisikii.
17
Kweli, hivi ndivyo, Bwana Mungu Mwenye vikosi, Mungu wa Isiraeli, anavyosema: Mtaona, nikiwaletea Wayuda nao wakaao Yerusalemu yale mabaya yote, niliyoyasema ya kuwafanyizia, kwa kuwa niliposema nao, hawakunisikia, nilipowaita, hawakujibu.
18
Nao walio wa mlango wa Rekabu Yeremia akawaambia: Hivi ndivyo, Bwana Mwenye vikosi, Mungu wa Isiraeli, anavyosema: Kwa kuwa mmelisikia agizo la baba yenu Yonadabu, mkayashika maagizo yake yote, mkayafanya yote, kama alivyowaagiza,
19
kwa hiyo ndivyo, Bwana Mwenye vikosi, Mungu wa Isiraeli, anavyosema: Hatakoseka mtu wa Yonadabu, mwana wa Rekabu, atakayesimama usoni pangu siku zote.
← Chapter 34
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 36 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52