bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Jeremiah 41
Jeremiah 41
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 40
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 42 →
1
Ikawa katika mwezi wa saba, ndipo, Isimaeli, mwana wa Netania, mwana wa Elisama wa kizazi cha kifalme, aliyekuwa mkuu wa mfalme, alipokuja Misipa pamoja na watu kumi kwa Gedalia, mwana wa Ahikamu, wakala chakula pamoja naye huko Misipa.
2
Ndipo, Isimaeli, mwana wa Netania, alipoinuka na wale watu kumi waliokuwa naye, wakampiga Gedalia, mwana wa Ahikamu, mwana wa Safani, kwa panga, mpaka wakamwua; naye ndiye, mfalme wa Babeli aliyemweka kuisimamia nchi hiyo.
3
Nao Wayuda wote waliokuwa Misipa pamoja na Gedalia, nao Wakasidi waliopatikana kule, nao wapiga vita Isimaeli akawaua.
4
Ikawa, hata siku ya pili ya kumwua Gedalia mtu hakuvijua.
5
Wakaja watu waliotoka Sikemu na Silo na Samaria, nao walikuwa watu 80 waliojinyoa ndevu na kuvaa nguo zilizoraruliwa, tena walikuwa wamejikatakata chale, namo mikononi mwao walichukua vipaji vya tambiko na uvumba kuvipeleka Nyumbani mwa Bwana.
6
Isimaeli, mwana wa Netania akatoka Misipa, akawaendea, akienda akilia machozi; alipowafikia akawaambia: Njoni kwa Gedalia, mwana wa Ahikamu!
7
Ikawa, walipofika mjini kati, ndipo, Isimaeli, mwana wa Netania, alipowaua, akawatumbukiza kisimani, yeye na watu waliokuwa naye.
8
Kwao wale kukaonekana watu kumi, wakamwambia Isimaeli: Usituue! Kwani tuko na vilimbiko, tulivyovificha porini, vya ngano na vya mawele na vya mafuta na vya asali; ndipo, alipowaacha, asiwaue pamoja na ndugu zao.
9
Hicho kisima, Isimaeli alimoitumbukizia mizoga yao yote, aliowaua, walipokuja kwa Gedalia, ni kile, mfalme Asa alichokifanya kwa ajili ya kupigana na Basa, mfalme wa Isiraeli; hicho ndicho, Isimaeli, mwana wa Netania, alichokijaza mizoga yao, aliowaua.
10
Kisha Isimaeli akawateka watu wote wa ukoo huu waliosalia Misipa: wana wa kike wa mfalme nao wote pia walioachwa Misipa, Nebuzaradani, mkuu wao waliomlinda mfalme, aliompa Gedalia, mwana wa Ahikamu, awaangalie. Basi, Isimaeli, mwana wa Netania, akawateka, akashika njia kwenda kujitia kwa wana wa Amoni.
11
Yohana, mwana wa Karea, nao wakuu wote wa vikosi waliokuwa naye walipoyasikia hayo mabaya yote Isimaeli, mwana wa Netania, aliyoyafanya,
12
wakawachukua watu wote, wakaenda kupigana na Isimaeli, mwana wa Netania, wakamwona penye maji mengi karibu ya Gibeoni.
13
Ikawa, watu wote wa ukoo huu waliokuwa na Isimaeli walipomwona Yohana, mwana wa Karea, nao wakuu wote wa vikosi waliokuwa naye, wakafurahi.
14
Ndipo, watu wote wa ukoo huu, Isimaeli aliowateka Misipa, wakageuka nyuma, wakarudi kwenda kwa Yohana, mwana wa Karea.
15
Isimaeli, mwana wa Netania, akamkimbia Yohana pamoja na watu wanane, akaenda kwa wana wa Amoni.
16
Yohana, mwana wa Karea, na wakuu wote wa vikosi waliokuwa naye wakawachukua watu wote wa ukoo huu waliosalia, wakawarudisha na kuwatoa kwa Isimaeli, mwana wa Netania, aliowateka Misipa, alipokwisha kumwua Gedalia, mwana wa Ahikamu, nao walikuwa waume wapigao vita na wanawake na watoto na watumishi wa mfalme wa nyumbani, basi, wakawarudisha toka Gibeoni.
17
Wakaondoka, wakakaa penye fikio la Kimuhamu lililoko kando ya Beti-Lehemu, wakataka kwenda Misri,
18
kwa kuwakimbia Wakasidi, kwani waliwaogopa, kwa kuwa Isimaeli, mwana wa Netania, alimwua Gedalia, mwana wa Ahikamu, mfalme wa Babeli aliyemweka kuisimamia nchi hiyo.
← Chapter 40
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 42 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52