bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Jeremiah 43
Jeremiah 43
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 42
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 44 →
1
Ikawa, Yeremia alipokwisha kuwaambia watu wote wa ukoo huu maneno yote ya Bwana Mungu wao, ndiyo maneno yale yote, yeye Bwana Mungu wao aliyomtuma kuwaambia,
2
ndipo, Azaria, mwana wa Hosaya, na Yohana, mwana wa Karea, na watu wote waliojivuna walipomwambia Yeremia: Wewe umesema uwongo, Bwana Mungu wetu hakukutuma kutuambia: Msiende Misri kukaa ugenini huko!
3
Kwani Baruku, mwana wa Neria, anakushurutisha, utupingie, apate kututia mikononi mwa Wakasidi, watuue, wengine watuteke na kutupeleka Babeli.
4
Basi, Yohana, mwana wa Karea, nao wakuu wote wa vikosi nao watu wote wa ukoo huu hawakuisikia sauti ya Bwana, wakae katika nchi ya Yuda.
5
Yohana, mwana wa Karea, na wakuu wote wa vikosi wakayachukua masao yote ya Wayuda waliorudi kukaa katika nchi ya Yuda wakitoka kwa mataifa yote, walikotupiwa.
6
Wakawachukua waume na wake na watoto na wana wa kike wa mfalme nao wote pia, Nebuzaradani, mkuu wao waliomlinda mfalme, aliowaacha na Gedalia, mwana wa Ahikamu, mwana wa Safani, hata mfumbuaji Yeremia na Baruku, mwana wa Neria.
7
Wakaja katika nchi ya Misri, kwani hawakuisikia sauti ya Bwana, wakakaa Tahapanesi.
8
Neno la Bwana likamjia Yeremia huko Tahapanesi kwamba:
9
Chukua kwa mkono wako mawe makubwa, uyafukie katika udongo penye tanuru lililoko pa kuiingilia nyumba ya Farao huku Tahapanesi, watu wa Yuda wakitazama!
10
Kisha uwaambie: Hivi ndivyo, Bwana Mwenye vikosi, Mungu wa Isiraeli, anavyosema: Mtaniona, ninavyomtuma na kumchukua mtumishi wangu Nebukadinesari, mfalme wa Babeli, nikiweka kiti chake cha kifalme juu ya mawe haya, niliyoyafukia, naye ataliwamba hema lake lenye utukufu juu yao.
11
Atakuja kuipiga nchi hii ya Misri, nao walio wa kufa watakufa, nao walio wa kutekwa watatekwa, nao walio wa upanga watapigwa na upanga.
12
Namo katika nyumba za miungu ya Misri nitatia moto, naye ataziteketeza, nayo miungu ataiteka; atajivika nchi ya Misri, kama mchungaj anavyojivika nguo yake, kisha atatoka huku na kutengemana.
13
Lakini nguzo za nyumba ya kulitambikia jua iliyoko katika nchi ya Misri atazivunja, nazo nyumba za miungu ya Misri ataziteketeza kwa moto.
← Chapter 42
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 44 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52