bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Jeremiah 47
Jeremiah 47
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 46
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 48 →
1
Hili ndilo neno la Bwana lililomjia mfumbuaji Yeremia kwa ajili ya Wafilisti, Farao alipokuwa hajaupiga Gaza.
2
Hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Mtaona, maji yatakapokuja na kutoka kaskazini, yatakuwa mto ufurikao, yataifunikiza nchi nayo yote yaliyomo, miji nao wakaamo. Ndipo, watu watakapopiga makelele, watalia wote wakaao katika nchi hiyo.
3
Kwa mashindo ya farasi wao wenye nguvu, wakipiga kwato zao, na kwa makelele ya magari yao na kwa uvumi wa magurudumu yao, baba hawatawageukia wana wao, kwani mikono itakuwa imewalegea.
4
Kwani inakuja ile siku ya kuwaangamiza Wafilisti wote, ndiyo ya kuwang'olea Watiro na Wasidoni wasaidiaji wote waliosalia; ndipo, Bwana atakapowaangamiza Wafilisti walio masao yao waliokitoka kisiwa cha Kafutori.
5
Wagaza watajinyoa vichwa, Waaskaloni pamoja nao waliosalia bondeni kwao watanyamazishwa, watajikata chale, mpaka lini?
6
Mpaka lini upanga wake Bwana utakuwa hautulii? Jirudie alani mwako, upumzike na kunyamaza!
7
Lakini utawezaje kutulia, Bwana akiuagiza kufanya kazi yake? Askaloni na pwani ndiko, Bwana alikoutuma.
← Chapter 46
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 48 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52