bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Job 26
Job 26
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 25
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 27 →
1
Kweli umemsaidia sana asiye na uwezo,
2
ukamwokoa mwenye mikono isiyo na nguvu!
3
Asiyeerevuka kweli umemwongoza vema ukimjulisha mizungu iliyo mingi!
4
Ni nani, uliyemwambia hayo maneno yako? Tena ni roho ya nani iliyokusemesha?
5
Nao wazimu walioko chini hutetemeka, nayo maji pamoja nao wakaao humo.
6
Kuzimu kuko waziwazi machoni pake, huko ndani ya nchi hakuna kabisa ficho lo lote.
7
Aliutandaza upande wa kaskazini mahali pasipokuwa na kitu, nayo nchi aliiweka kuwa juu ya hapo pasipokuwa lo lote kabisa.
8
Katika mawingu yake hufunga maji, lakini hakuna wingu lipasukalo chini yao.
9
Hukifunika kiti chake cha kifalme, kisionekane, kwa kukitandazia wingu lake.
10
Alipima mviringo juu ya maji, uwe mpaka; ndipo, mwanga unapokutana nayo giza.
11
Nguzo za mbingu hutukutika kwa kutetemeka, akichafuka.
12
Kwa uwezo wake huzistusha nazo bahari, kwa utambuzi wake huwaponda nao nondo waliomo baharini.
13
Kwa kuzipuzia mbingu huzichangamsha, mkono wake humchoma naye joka kubwa, akikimbia.
14
Tazameni! Huku ni kama pembeni tu kwa njia zake, hayo maneno yake, tunayoyasikia, ni manong'ono tu, lakini hizo nguvu za ngurumo zenyewe yuko nani atakayezitambua? Iyobu akaendelea kutoa mifano akisema:
← Chapter 25
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 27 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42