Job 31
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
8basi, mimi nitakayoyapanda, mwingine na ayale, nayo mazao yangu na yang'olewe pamoja na mizizi yao!
11Kwani hili lingekuwa kosa lililo baya zaidi, ni kukora manza zipasazo kuhukumiwa na waamuzi wakuu.