bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Job 35
Job 35
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 34
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 36 →
1
Je? Hayo unayawaza kuwa shauri likupasalo,
2
ukisema: Mimi ni mwenye wongofu kuliko Mungu?
3
tena ukiuliza, kama huo wongofu utakupatia faida gani, tena ukisema: Nikiacha kukosa, inafaaje kuliko kukosa?
4
Mimi nitakujibu wewe nao wenzako walioko kwako:
5
Zitazame mbingu, upate kuona! Yaangalie mawingu yaliyoko huko juu kichwani pako!
6
Yule unamtendea nini ukikosa? Mapotovu yako yakiwa mengi, unamfanyizia nini?
7
Yule unampa nini usipokosa? Au liko, atakalolichukua mkononi mwako?
8
Uovu wako utaweza kumwumiza mtu tu aliye kama wewe, nao wongofu wako utaweza kumfalia mwana wa Adamu.
9
Kwa wingi wa mateso watu hulia, kwa kutolewa nguvu na wakuu hupiga makelele.
10
Lakini hakuna aulizaye: Yuko wapi Mungu aliyeniumba? Siye anayeniimbisha hata usiku?
11
Atufundishaye kuliko nyama wa porini siye yeye? Tena siye yeye atuerevushaye kuliko ndege wa angani?
12
Lakini asipojibu, wanapomlilia, ni kwa ajili ya majivuno yao walio wabaya.
13
Vilio vya bure Mungu havisikii, aliye Mwenyezi haviangalii.
14
Ikiwa, unasema nawe, ya kama humwoni, hilo shauri liko kwake, wewe umngoje tu!
15
Makali yake yasipotokea hata sasa, huwaziwa kuwa hajui kabisa, mtu akikorofishwa.
16
Naye Iyobu amekifunua kinywa chake, vikawa vya bure, amesema maneno mengi ya mambo, asiyoyajua. Elihu akajibu tena akisema:
← Chapter 34
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 36 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42