Job 38
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
12Tangu hapo, siku zako zilipoanza, uliagiza, kuche, ukayajulisha mapambazuko mahali pao pa kutokea,
26Ni nani ainyesheaye mvua hiyo nchi isiyokaa watu, nako kusikopatikana wana wa Adamu, kule nyikani?