bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Revelation 7
Revelation 7
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 6
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 8 →
1
Kisha nikaona malaika wanne waliosimama penye pembe nne za nchi, wakizishika pepo nne za nchi, maana upepo usivume nchini wala baharini wala penye mti wo wote.
2
Nikaona malaika mwingine aliyepanda toka maawioni kwa jua, alikuwa na muhuri ya Mungu aliye Mwenye uzima, akawaita kwa sauti kuu wale malaika wanne waliopewa kuzipotoa nchi na bahari,
3
akasema: Msizipotoe nchi wala bahari wala miti, mpaka tuishe kuwatia watumwa wa Mungu wetu muhuri penye mapaji yao.
4
Ndipo, nilipoisikia hesabu yao waliotiwa muhuri, walikuwa 144000 wenye kutiwa muhuri ya mashina yote ya wana wa Isiraeli:
5
Waliotiwa muhuri ya shina la Yuda walikuwa 12000, muhuri ya shina la Rubeni walikuwa 12000, muhuri ya shina la Gadi walikuwa 12000,
6
muhuri ya shina la Aseri walikuwa 12000, muhuri ya shina la Nafutali walikuwa 12000, muhuri ya shina la Manase walikuwa 12000,
7
muhuri ya shina la Simeoni walikuwa 12000, muhuri ya shina la Lawi walikuwa 12000, muhuri ya shina la Isakari walikuwa 12000,
8
muhuri ya shina la Zebuluni walikuwa 12000, muhuri ya shina la Yosefu walikuwa 12000, muhuri ya shina la Benyamini walikuwa 12000,
9
*Kisha nikatazama, nikaona mkutano mwingi usiohesabika na mtu wo wote, ni watu wa wamizimu wote na wa mashina yote na wa makabila yote na wa misemo yote. Walisimama mbele ya kiti cha kifalme na mbele ya Mwana kondoo; walikuwa wamevikwa kanzu nyeupe, namo mikononi mwao walishika makuti ya mitende.
10
Nao wakatoa sauti kuu wakisema: Wokovu ni wa Mungu wetu akaaye kitini mwa kifalme na wa Mwana kondoo!
11
Ndipo, malaika wote waliosimama na kukizunguka kiti cha kifalme na wale wazee na wale nyama wanne, walipoanguka nyusoni pao mbele ya kiti cha kifalme, wakamsujudia Mungu wakisema:
12
Kweli, mapongezo na utukufu na werevu wa kweli na shukrani na heshima na uwezo na nguvu ni za Mungu wetu kale na kale pasipo mwisho! Amin.
13
Mmoja wao wale wazee akaniuliza akisema: Hawa waliovikwa kanzu nyeupe ni akina nani? Nao wametoka wapi?
14
Nikamwambia: Bwana wangu, wewe unajua. Akaniambia: Hawa ndio waliotoka katika maumivu makubwa, ndio waliozifua nguo zao na kuzing'aza kwa damu ya Mwana kondoo.
15
Kwa hiyo wako mbele ya kiti cha kifalme cha Mungu na kumtumikia mchana na usiku Jumbani mwake. Anayekaa kitini mwa kifalme atakapotua kwao,
16
hawataona tena njaa wala kiu, wala jua halitawachoma wala jasho lo lote.
17
Kwani Mwana kondoo aliomo katikati ya kiti cha kifalme atawachunga na kuwaongoza kwenye chemchemi za maji ya uzima. Naye Mungu atayafuta machozi yote machoni mwao.*
← Chapter 6
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 8 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22